Mambo ya food nutrition mm sijui ila ijumaa tende muhimu sn kwangu kama sio juice basi tende na maziwa.Nasikia tende zina kazi yake maalum au ukinywa juice ya tende
Nikiona nundu hivyo nachanganyikiwa [emoji39]
Bas shughuli yako sio ya kitoto nakujaMambo ya food nutrition mm sijui ila ijumaa tende muhimu sn kwangu kama sio juice basi tende na maziwa.
Mchana twende nkakununulie Bruce lee
Sijui nina mimba !
Kila nikiona kitu kama hiki mate yanajaa mdomoni
Napenda sana nunduKuna namna zilivyo lol
Njoo nikupe ofa ya glass ya juisi ya tendeNasikia tende zina kazi yake maalum au ukinywa juice ya tende
I miss you more muumini wangu, tafrija hutakosa kitu ni mwendo wa mishikaki, kachumbari, chips, pilau, biriani, wali mweupe, kuku rosti, mvurugo wa mbuzi rojo, samaki rojo, kuku makange, fish finger, supu pweza nk kazi ni kwako... Muda wa tafrija ni jumapili jioni usikoseBaba paroko jaman miss u kwenye misosi usisahau kuweka nundu
Yaaani hapa nimeshavurugika.Hahah bora wewe hadi uone mimi nikiwaza tu hoi..
Mhmhhh una appointment ya wapi mkuu sio mchezo na hiyo diet all the best
Kifungua kinywa cha kibabe..maziwa na tende
Hapana mama tende zenyewe sili zimenishinda asante sana kwa ofa ubarikiwe mnooNjoo nikupe ofa ya glass ya juisi ya tende
Nauza.
Mambo ninayoyapenda mie nakosaje sasa ila sadaka sina baba parokoI miss you more muumini wangu, tafrija hutakosa kitu ni mwendo wa mishikaki, kachumbari, chips, pilau, biriani, wali mweupe, kuku rosti, mvurugo wa mbuzi rojo, samaki rojo, kuku makange, fish finger, supu pweza nk kazi ni kwako... Muda wa tafrija ni jumapili jioni usikose
Hujakosea kabisa umeshawahi fanya jaribio lakini? Maana signal itakua all the time searchingNasikia tende zina kazi yake maalum au ukinywa juice ya tende
Yaan we upo kama mmHahah bora wewe hadi uone mimi nikiwaza tu hoi..
Hamna ijumaa napenda kulainisha utumbo mapema na mchana nile haswa maana baada ya hapo tumbo litaingiza alcohol nyingi zaidiMhmhhh una appointment ya wapi mkuu sio mchezo na hiyo diet all the best
Sijawahi fanya nilisikia tu mtu alikuwa anaziongelea pamoja na juice yakeHujakosea kabisa umeshawahi fanya jaribio lakini? Maana signal itakua all the time searching
Sadaka leo hatuchangishi leo mje kula tu, ila mje wachache maana watumishi wa mungu tusije kosa chakulaMambo ninayoyapenda mie nakosaje sasa ila sadaka sina baba paroko
Hahahaah ngoja apite hapa huyu Cc shunieHamna ijumaa napenda kulainisha utumbo mapema na mchana nile haswa maana baada ya hapo tumbo litaingiza alcohol nyingi zaidi
Mmh baba paroko usifanye hivyo jamaanSadaka leo hatuchangishi leo mje kula tu, ila mje wachache maana watumishi wa mungu tusije kosa chakula
Hamna ijumaa napenda kulainisha utumbo mapema na mchana nile haswa maana baada ya hapo tumbo litaingiza alcohol nyingi zaidi
Nimepita kazi nyingine inalainisha utumboHahahaah ngoja apite hapa huyu Cc shunie
Nundu hizo[emoji13] [emoji13]Kuna namna zilivyo lol