Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe dawa yako ni ndogo sana,ngoja nimwambie qeen jojo afanye jambo lake kwenye ule uzi wetu wa selfika kule uone kama hautagongwa na magari barabarani![emoji1][emoji1][emoji1]
Buguruni yapo mpendwa
[emoji57][emoji24][emoji24][emoji24]Wale wa diet
View attachment 1748490
Hapo pamekosekana ndizi 2 kama ni jioni au chapati 2 za kuchemsha kama ni asubuhi...
Daaah!! Missyrose ntaomba darsa la upishi.
We dada weee[emoji24]! Nimetamani huyo samaki (Tasi) [emoji39][emoji39][emoji39]Nilikula nusu nivimbiweView attachment 1748511
Chief sio poa kutesana![emoji3064][emoji847]View attachment 1748515
Hahahaha! Pole kamandaChief sio poa kutesana![emoji3064]
na alikua mtamu sana.We dada weee[emoji24]! Nimetamani huyo samaki (Tasi) [emoji39][emoji39][emoji39]
Dah,umenikumbusha Mara ya kwanza kusikia nyama ya ulimi nlikua secondary,nkienda grocery kwa uncle akamuambia muhudumu aniletee supu ya ulimi nlikataa.Nliwaza tu ulimi ulivo wa ngo'mbe naulaje.Nkawaambia anipe tu supu ya nyama.Sa hivi ndo nyama yangu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] pata choma yake sasaDah,umenikumbusha Mara ya kwanza kusikia nyama ya ulimi nlikua secondary,nkienda grocery kwa uncle akamuambia muhudumu aniletee supu ya ulimi nlikataa.Nliwaza tu ulimi ulivo wa ngo'mbe naulaje.Nkawaambia anipe tu supu ya nyama.Sa hivi ndo nyama yangu.
Kumbe kuna ya kuchoma pia,ntaitafuta aisee.
Nimetafuta ndizi utumbo mpaka nimechoka....Uhondo[emoji3059]View attachment 1750078