Uzi wa vyakula tu

Nafkiri inategemea na size.

Mie nilinunua 50 or 60
Au sijui ndio kupigwa kwa wafanyabiashara
Kwa maelezo ya wadau hapa hizo ndio bei zake.
Niliiona video yake mahali nikavutiwa nayo, nashukuru mmenipa mwongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…