Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Nafkiri inategemea na size.Shukrani madam kumbe bei nafuu hivyo. Itabidi tufanye mpango uagize mbili.
Naona mwendo wa tamtam tu.
Kazi ipo.
Kwa maelezo ya wadau hapa hizo ndio bei zake.Nafkiri inategemea na size.
Mie nilinunua 50 or 60
Au sijui ndio kupigwa kwa wafanyabiashara
Hii mpya ukipata mda tushushie respie jamani
Haha, apana... 😂Kazi ipo.
Na hio juice ya muwa ukakamua mwenyewe ama?
Kimenona jamani! 🤣 🤣 🤣 Kitaliwa kwa nini vile? 😂Mboga ya sikukuu ya Idd😄😄😄
View attachment 1783398
Bhana eh. Nyie kesho sio?Naona mwendo wa tamtam tu.
Tawiree
Kwa maelezo ya wadau hapa hizo ndio bei zake.
Niliiona video yake mahali nikavutiwa nayo, nashukuru mmenipa mwongozo.
Wakuu hivi kumbe lile tunda la ndizi linalotokea kwa mbele baada ya ndizi kukomaa(rangi kama damu ya mzee hivi) linaweza kutumika kama replacement ya kitunguuu
Utanifanya kesho tu nikaitafute..View attachment 1783571
Kivivu zaidi
Nimeambiwa na wahenga..nitajaribu kulipika nione lina test ganiMmmmh wewe jamani
Nimeambiwa na wahenga..nitajaribu kulipika nione lina test gani
Inaitwa nganana kwa kiswahili. Wachaga tunaita songa.Wakuu hivi kumbe lile tunda la ndizi linalotokea kwa mbele baada ya ndizi kukomaa(rangi kama damu ya mzee hivi) linaweza kutumika kama replacement ya kitunguuu
Kuna kitu unakitafutaMaandalizi ya futari ya mwisho mwisho[emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1783263
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni nzuri sana ukipata samaki fresh..ndio mchawi wangu yule watu wanabaki wakisema yule jamaa halewiii halewiii kumbe nikitoka nyumban nishajishindilia mambo yangu
Ngoja nimtafute karma aje akubebe[emoji1787]Mboga ya sikukuu ya Idd[emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1783398