Ruqaiyah
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 1,118
- 1,483
Na mm naona......Mwili haujengwi kwa tofali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mm naona......Mwili haujengwi kwa tofali
Hahaaa lazima uage[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ndio unaenda kumtembelea dada ako...unamkuta shemeji yako kaweka mezani anakula hizi vitu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo ukijamba ni zaidi ya Bomu maana kwa mchanganyiko huo[emoji14] [emoji14] [emoji14]
Chukua mafuta ya nazi na Colgate herbal.. Changanya Kisha mpake mzee baba na kumfanyia masaji kwa dakika 5 6 hivi... Msuuze kisha kula vizuri pumzika nususaa.. Ingia Kazini
Jamani huu ni uzi wa chakula sio mambo ya ngonomshana bado uko macho mkuu? Tafadhali naomba uje kuokoa jahazi hapa....nimefanya yale uliyoniambia ila sasa nashindwa kutoka nje, yapata siku tatu nashindwa kuvaa chupi bado niko ndani kwani mze kasimama ngangari hataki kurudia hali yake ya kawaida, nifanyeje? Ile dozi uliyonitajia si nzuri kwangu hata kidogo, yaani najuta bora hata ningekunywa tu ile supu yangu pendwa. Tafadhali njoo uniokoe haraka nitafutwa kazi maana nina siku tatu sasa nimefungia chumbani naogopa kutoka nje huku bado nimedinda.
Yaaah jaribu kuwakumbusha mkuuJamani huu ni uzi wa chakula sio mambo ya ngono
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]mshana bado uko macho mkuu? Tafadhali naomba uje kuokoa jahazi hapa....nimefanya yale uliyoniambia ila sasa nashindwa kutoka nje, yapata siku tatu nashindwa kuvaa chupi bado niko ndani kwani mze kasimama ngangari hataki kurudia hali yake ya kawaida, nifanyeje? Ile dozi uliyonitajia si nzuri kwangu hata kidogo, yaani najuta bora hata ningekunywa tu ile supu yangu pendwa. Tafadhali njoo uniokoe haraka nitafutwa kazi maana nina siku tatu sasa nimefungia chumbani naogopa kutoka nje huku bado nimedinda.
kimenogaNIMEPAMISI MWANZA KULE UNAKULA VITU NATURAL TOKA ZIWANI
![]()
Dah aisee dada unafaidi...umeolewa?Karibuni![]()
![]()
Jamani huu ni uzi wa chakula sio mambo ya ngono
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kumbe wew ni mweusi![]()
Karibuni juice ya tende
Ulidhani mm mzungu?Kumbe wew ni mweusi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] nilidhan ni mweusi tiiUlidhani mm mzungu?
Napiga kiwi kbs[emoji2] [emoji2] [emoji2] nilidhan ni mweusi tii
Nikaribishe chai.....Napiga kiwi kbs