Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

.
bef790612fe581b51a47bbec55871a8f.jpg
Hapo ukijamba ni zaidi ya Bomu maana kwa mchanganyiko huo[emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
Chukua mafuta ya nazi na Colgate herbal.. Changanya Kisha mpake mzee baba na kumfanyia masaji kwa dakika 5 6 hivi... Msuuze kisha kula vizuri pumzika nususaa.. Ingia Kazini


mshana bado uko macho mkuu? Tafadhali naomba uje kuokoa jahazi hapa....nimefanya yale uliyoniambia ila sasa nashindwa kutoka nje, yapata siku tatu nashindwa kuvaa chupi bado niko ndani kwani mze kasimama ngangari hataki kurudia hali yake ya kawaida, nifanyeje? Ile dozi uliyonitajia si nzuri kwangu hata kidogo, yaani najuta bora hata ningekunywa tu ile supu yangu pendwa. Tafadhali njoo uniokoe haraka nitafutwa kazi maana nina siku tatu sasa nimefungia chumbani naogopa kutoka nje huku bado nimedinda.
 
mshana bado uko macho mkuu? Tafadhali naomba uje kuokoa jahazi hapa....nimefanya yale uliyoniambia ila sasa nashindwa kutoka nje, yapata siku tatu nashindwa kuvaa chupi bado niko ndani kwani mze kasimama ngangari hataki kurudia hali yake ya kawaida, nifanyeje? Ile dozi uliyonitajia si nzuri kwangu hata kidogo, yaani najuta bora hata ningekunywa tu ile supu yangu pendwa. Tafadhali njoo uniokoe haraka nitafutwa kazi maana nina siku tatu sasa nimefungia chumbani naogopa kutoka nje huku bado nimedinda.
Jamani huu ni uzi wa chakula sio mambo ya ngono
 
mshana bado uko macho mkuu? Tafadhali naomba uje kuokoa jahazi hapa....nimefanya yale uliyoniambia ila sasa nashindwa kutoka nje, yapata siku tatu nashindwa kuvaa chupi bado niko ndani kwani mze kasimama ngangari hataki kurudia hali yake ya kawaida, nifanyeje? Ile dozi uliyonitajia si nzuri kwangu hata kidogo, yaani najuta bora hata ningekunywa tu ile supu yangu pendwa. Tafadhali njoo uniokoe haraka nitafutwa kazi maana nina siku tatu sasa nimefungia chumbani naogopa kutoka nje huku bado nimedinda.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Jamani huu ni uzi wa chakula sio mambo ya ngono


Ndiyo ila kuna picha ya supu ya pweza iliwekwa na ilinikumbusha mbali sana, baada ya kucomment ndipo Dokta wetu mpendwa asiye na posho (mshana jr) alinipa dozi ya kienyeji ambayo kwangu imekuwa na side effect mbaya sana. Leo ni siku ya nne bado nimedinda tu na kutoka nje naona haibu, nataka dawa mbadala ya kushusha dushe lilerejee katika hali ya kawaida.
 
Back
Top Bottom