[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyo mauaji diet ndo unashindia nini?
Ukifanya hii unaweza kufanya shughuli zako za kawaida kabisa,yaani hata ukiwa job unapata nguvu ya kuongea na wenzako na kucheka kawaida kabisa?View attachment 1852607
[emoji23][emoji23][emoji23]hiyo hapo sema huwa naifanya once per year nikiona mwili umezidi
Ukifanya hii unaweza kufanya shughuli zako za kawaida kabisa,yaani hata ukiwa job unapata nguvu ya kuongea na wenzako na kucheka kawaida kabisa?
Hapo kwenye kunywa maji huku ukiwa na njaa ndio shughuli bora skimmed milk.View attachment 1852607
[emoji23][emoji23][emoji23]hiyo hapo sema huwa naifanya once per year nikiona mwili umezidi
Jembe hilo.Vimfupa flani laini ukivisaga utasikia kwarachiii kwarachii
View attachment 1852804
Hapo kwenye kunywa maji huku ukiwa na njaa ndio shughuli bora skimmed milk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu cha pwepweeeh
Sato HIYO[emoji3590][emoji3590]View attachment 1853849View attachment 1853850
Sent using Jamii Forums mobile app
π π πmagimbi mzee umenikumbusha mbali sana ...SONGEA hiyo..... ukitoka hapo nguvu za kulaumu serikali zinakuepo
Hapo unaseti silaha safi
Cha asubuhi lazma kiwe heavy ndio siku isonge aisee! π€£Mkuu unakula kipendacho roho kabisa
Sausage,mayai,maziwa mwee[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Yap [emoji106][emoji39]ni mihogo hiyo au??
Ile ya 13 days hemu ikumbushie.[emoji23][emoji23][emoji23] nilishajaribu nilinenepa
yaani inayonipunguza ni ile ya 13 days diet, eggs diet ya 10 days na mauaji diet.
Ntakufa [emoji57]View attachment 1852607
[emoji23][emoji23][emoji23]hiyo hapo sema huwa naifanya once per year nikiona mwili umezidi