Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Halal foods
FB_IMG_1626156019607.jpg
 
huwezi sababu mwembamba [emoji23]ungekua chinene ungeweza.

mwaka 2017 nilikua na kilo zangu 68 mwenyewe nikawa nashangaa mtu anafanya vipi diet ngumu hivyo now nina 89 mbona naweza na ninaona nyepesi[emoji2]
89[emoji134][emoji23] ...
Jitahidi tahidi angalau zifike 75.

Mimi nadhani hata nikija kunenepa hiyo diet sitaiweza

Bora nifunge ijulikane tu nimefunga,
Ila diet ya kunywa maji pekeyake au yai moja na karoti[emoji1787][emoji119]sijaijaribu bado Nkamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom