Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doriani, wengi linawashinda wabara ila mie cku ya kwanza kuletewa nikawaambia jiko la shamba halichagui kuni nkaligonga fresh tu
Kuwala hawa yataka ununda maana hunuka km mkojo[emoji23][emoji23][emoji39]
Taammmuuu [emoji39]Doriani, wengi linawashinda wabara ila mie cku ya kwanza kuletewa nikawaambia jiko la shamba halichagui kuni nkaligonga fresh tu
fanya dear uje utupe mrejesho siku ukimaliza
Mauaji diet ndio ipoje hio?[emoji23][emoji23][emoji23] nilishajaribu nilinenepa
yaani inayonipunguza ni ile ya 13 days diet, eggs diet ya 10 days na mauaji diet.
89[emoji134][emoji23] ...huwezi sababu mwembamba [emoji23]ungekua chinene ungeweza.
mwaka 2017 nilikua na kilo zangu 68 mwenyewe nikawa nashangaa mtu anafanya vipi diet ngumu hivyo now nina 89 mbona naweza na ninaona nyepesi[emoji2]
Hebu nitumie kapicha nione hii 89 kg twin
89[emoji134][emoji23] ...
Jitahidi tahidi angalau zifike 75.
Mimi nadhani hata nikija kunenepa hiyo diet sitaiweza
Bora nifunge ijulikane tu nimefunga,
Ila diet ya kunywa maji pekeyake au yai moja na karoti[emoji1787][emoji119]sijaijaribu bado Nkamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mauaji diet ndio ipoje hio?
Nimeanza na Tangawizi na limaoView attachment 1855627
Mwe pole[emoji23]acha Nkamu ndo napambana hapa
No kawaida tu ntajuanikiwa juu mzani Twin?
Unanifurahisha sana na uhalisia wako [emoji2][emoji2]yaani pan ya ricecooker imegeuka sufuria[emoji1783]
Yammy[emoji39]Vimfupa flani laini ukivisaga utasikia kwarachiii kwarachii
View attachment 1852804