Uzi wa vyakula tu

Mimi ndiye kaka yake,nakupa bure kabisa huyu msumbufu wala simtaki tena hapa nyumbani.Mahari ni kajogoo kamoja tu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji119][emoji119][emoji119] Emiir wa chura! Vipi lakini ana chura? [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Hiyo ni methali tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama, ujue nakupenda hadi naumwa!! Hapa nimetoka kuzunguka majalala yote, lakini nashangaa paka hawaonekani [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Nikimpata mmoja tu namuona kaka yako Behaviourist emiir wa chura haraka sana! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hao paka mnaopeana shauri zenu [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe. Ugumu upo kwa familia zetu hizi una mke mna watoto sita, ndugu zako na ndugu wa mkeo jumla mpo kumi na tatu ndani uwezekano wa kumudu kula hivi ni mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…