Uyo samak kama kuhe iv kuku wa majiniView attachment 1843251
Lunch hour
Yaani wewe ndio wa kupost biriani bila hata kunishtua?? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Kumbe ndiyo maana siku hizi chura ipo,ni unakula vitu heavy na vilivyoenda shule😁😁😁
Unanitafuta wewe😂😂 chura ipo wapi?Kumbe ndiyo maana siku hizi una chura,ni unakula vitu heavy na vilivyoenda shule😁😁😁
Mbona nyama nyingi sana afu upo peke yako 😂😂 si matumizi mabaya ya rasilimali nyama hayo😛Wale wa domView attachment 1874412
Hii ngoma natwanga hapa mapema tu km breakfast👊
Asikusingizie bana,kaa hukuhuku kwa wasiopenda chura tubingilishaneUnanitafuta wewe😂😂 chura ipo wapi?
Ushauri mzuri,tatizo wengine tunakuja kutafta njaa humu,bila fimbo hatuli.Sasa matusi sio poa mkuu, watu wako tofauti hii dunia, na vyakula havilingani kamwe, everyone's got his/her own taste na tukiletewa hapa kuviona, mbona sio shida kwangu personally coz ndio tunajifunza tusiyoyajua kuhusu vyakula vya aina mbali mbali duniani. ✌️
Hahahaha seriously[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2815]Ushauri mzuri,tatizo wengine tunakuja kutafta njaa humu,bila fimbo hatuli.
Sasa mara unakumbana na misosi ya ajabu tena.
Kiujumla ile jana sijala kabisaaa baada ya kuona ile post