Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Hichi hapa
c314e4639ebe3c87647c96fe922be350.jpg
 
Hii kitu hatari sana...
Hapo unaugali wa unga wa Muhongo wa kutwangwa sio wa mashine. Matonge unakuwa unayasikilizia yanapita kwenye aesofagasi tu, tubwiii
Si unaona mwenyewe kitu yenyewe ya Chuku Chuku.

Halafu bila shaka hapo imekolea Ndimu au Limao na Ugali wa Muhogo tena.

Kama ulikuwepo.

Kitu kinateleza tu.

Yaani hata usipotafuna vizuri Tonge linateleza bila wasi.

Ugali wa Muhogo, au ukipenda Bada. Acha tu.

Kuna ule ambao unakuwa kama rangi ya mbao ile iliokolea.

Na kuna ule ambao unakuwa rangi kama Nyeusi si Nyeusi, Kijani si Kijani.

Kiongozi, umenitamanisha sana.

Sijui kwanini umeutaja Ugali wa Muhogo.

Jamani
 
Back
Top Bottom