Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Huyu amechinjwa mkuu...... [emoji39]Dah..! [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] ukisikia KUKU MZIMA ndio huyu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu amechinjwa mkuu...... [emoji39]Dah..! [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] ukisikia KUKU MZIMA ndio huyu hapa
Dah....huyu lazima zile hisabati za uwiano (ratios) zilimpiga [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji41]![]()
Karibuni
Kwa sisi tulivyo atakua ni MTU 1[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hii mko wangapi Mkuu ?
Mmoja tu mkuu,one man army!! Kuna kila kitu kuna mpaka sato hapo amefunikwa na ganda la limao hapoHii mko wangapi Mkuu ?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] mmoja?wallah hii inaitwa kupaniaMmoja tu mkuu,one man army!! Kuna kila kitu kuna mpaka sato hapo amefunikwa na ganda la limao hapo
Raha jipe mwenyewe mama! Nakula goodtime tu saiv[emoji41] [emoji41] fack love[emoji57] [emoji57][emoji2] [emoji2] [emoji2] mmoja?wallah hii inaitwa kupania
Kila la kherRaha jipe mwenyewe mama! Nakula goodtime tu saiv[emoji41] [emoji41] fack love[emoji57] [emoji57]
Amen dada ndaunile[emoji120]Kila la kher
Simple and yummyna kweli hizi tarehe si rafiki kabisa 🙂
Ila menu inaeleweka unashushia na maji
Hivi kwa wengine sio kibudu huyu kuku?
Hapa Dompo inahusika kusindikiza huu msosi![]()
Fresh from kitchen
Hapo gharama ni maji ya kunywa ya bariiid, tena mchana
Mhmhhh....anko upo vizuriHapo gharama ni maji ya kunywa ya bariiid, tena mchana