Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji39]
Hii ukishushia na maziwa mgando unashiba masaa 10.na kweli hizi tarehe si rafiki kabisa 🙂
Ila menu inaeleweka unashushia na maji
Hili ni bomu la viagra.![]()
Kifungua kinywa cha kibabe..maziwa na tende
Huu lazima mtori
Sijawai kuyapenda kabisa.Ni matam sana, jinsi kama vilivyo viazi vitam, sema hili ladha yake ni ya kibabe zaidi.
Hizo chapati umepika mwenyewe![]()
Late breakfast..
Hizo chapati umepika mwenyewe
Naomba unielekeze jinsi ya kuya pika ili nami ni enjoy hiyo ladhaNi matam sana, jinsi kama vilivyo viazi vitam, sema hili ladha yake ni ya kibabe zaidi.