Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muda sasa wa mimi kutafuta mke wa kuoa ili nile vizuri...(kidding though)Shukrani kwa Mzizi mkavu kwa hili pishi leo nimejaribu kupika [emoji39] ila nimeweka stake ya kuku badala ya soseji
Tamu hatari, karibuni wapendwaView attachment 923799
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukipata asiyejua kupika jeNi muda sasa wa mimi kutafuta mke wa kuoa ili nile vizuri...(kidding though)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukipata asiyejua kupika je
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] UmetishaSi namrudisha kwao na mahari wanarudisha..[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]..saa saba hii umezitoa wapi hizi chipsi dume??Chipsi dumeView attachment 924187
[emoji23][emoji23]..saa saba hii umezitoa wapi hizi chipsi dume??
Hpa mzee umetisha.Chipsi dumeView attachment 924187
[emoji2][emoji2]Kikamanda zaidiHpa mzee umetisha.
Tunakwenda kidumedume.
Vyakula vingine tunatamanishana tuu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]hasa weweShukrani kwa Mzizi mkavu kwa hili pishi leo nimejaribu kupika [emoji39] ila nimeweka stake ya kuku badala ya soseji
Tamu hatari, karibuni wapendwaView attachment 923799
[emoji14][emoji14][emoji14] Pole mwayaVyakula vingine tunatamanishana tuu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]hasa wewe
Aaaaaah........ missyrose kiazi hiko