Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu imepotea njia naonaChakula ya JioniView attachment 942816
Daa kweli huku nimebugi mkuuDuu imepotea njia naona
Bro fanya kweli hivyo vi emoj vya nini unajua hata wapiga chapo pia huwa wanaumia kwa mechi mbovu kama unazngua[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji87][emoji87][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
"Eroooo hii ni masiwaaa ama ni nini??"Chakula ya JioniView attachment 942816
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nipo home kwetu
Goodmorning View attachment 941291
Vijisent tu hivi Mkuu View attachment 941765
Doohhh.
Tambi nikiziona nazitamani
Ila kuzila mmmh labda ziwe na nyama
Mzee tambi haziliwi kwa kijiko
Ni vema ukatumia vijiti au uma
uzi umedoda leo hamjala kwani/kupika??Tawire mganga.!
Duu imepotea njia naona
"Eroooo hii ni masiwaaa ama ni nini??"
[emoji2][emoji1] wengine tupo barabarani kuelekea nyumbani mkuu.uzi umedoda leo hamjala kwani/kupika??
[emoji2][emoji1] wengine tupo barabarani kuelekea nyumbani mkuu.
Shukrani sana.safari njema pole na majukumu
Unajua siku nyengine kuna kukosa.uzi umedoda leo hamjala kwani/kupika??
Wew husongi hata ugali.Shukrani sana.
So hakutakuwa na kupika leo [emoji6]
Chips tamu unapika hiviJamani kaa hamtojali wanajukwa nijuzeni jinsi ya kupika chips mayai nzuri tamu nmemfungulia sehemu ya kujishikiza mdogo wangu pale alipokuna ushindani mkubwa pia ni sehemu iliyochangamka sana sasa nataka awe wa kitofauti pia mkinisaidia hata kwa viungo vyake tu nitashukuru kumrejeshea habari nzuri ya kutoka kwa chama langu jf
Mpaka nifike home muda wa kula utakuwa ushapita mkuu so matunda tu yatahusikaWew husongi hata ugali.
Miss hizo ni chps kavu tuu orChips tamu unapika hivi
Unakata viazi vikubwa kiasi. Unapaka food colour ,chumvi Na pilipili ya Unga kidogo
Then unapaka Mafuta weka kwa oven
Hizi ni kavu yes Ila tamu balaaMiss hizo ni chps kavu tuu or
ndo maana yake maana nishazoea kuja kuchungulia picha za misosi halafu nakunywa maji nalala sasa leo ntaona makosa yote ya fundi kwenye ceillingShukrani sana.
So hakutakuwa na kupika leo [emoji6]
View attachment 939099
Chakula cha binadamu;
Kwa wale wenzangu na mie (Mara) wanaokula ugali mwekundu sijui huwa wanapata radha ipi.
Jamani kaa hamtojali wanajukwa nijuzeni jinsi ya kupika chips mayai nzuri tamu nmemfungulia sehemu ya kujishikiza mdogo wangu pale alipokuna ushindani mkubwa pia ni sehemu iliyochangamka sana sasa nataka awe wa kitofauti pia mkinisaidia hata kwa viungo vyake tu nitashukuru kumrejeshea habari nzuri ya kutoka kwa chama langu jf