Dah walah[emoji5] mumeo atakuwa anafaidi maanjumati sana aisee.
Kama bado hujawekwa ndani ebu fanya kama unajikuna kuja PM[emoji1] [emoji1]
Eeh anafaidi hata na yeye ni mpishi mzuri sana hususan biriani he is the best.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah walah[emoji5] mumeo atakuwa anafaidi maanjumati sana aisee.
Kama bado hujawekwa ndani ebu fanya kama unajikuna kuja PM[emoji1] [emoji1]
Kitambi hakiji wengine hata tule tembo hatunenepagi 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usubiri Na kitambi [emoji13]
Kitambi hakiji wengine hata tule tembo hatunenepagi [emoji23]
Dah I wish I culd b him walahEeh anafaidi hata na yeye ni mpishi mzuri sana hususan biriani he is the best.
Dah I wish I culd b him walah
Kila mtu ana mapungufu yake mkamilifu ni mola mtukufu tu peke yake.Hahahaha na maudhi yangu utaenda mbio🤣🤣🤣.
Naweza kuwa mpishi mzuri ila nna mapungufu yangu.
farkhina msalimie nyau wako kesho akiamka[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nyau wote wapo hivyo hivyo.[emoji1] [emoji1]Okay nyau mpenda raha kama mtu[emoji23],
Nyau wote wapo hivyo hivyo.[emoji1] [emoji1]
Hawajuagi shida hao.
Sio carrot ni embe na tikitiki. Tamu sanaShosti inaonekana tamu[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7],juice ya carrot Na nini iyo?
Hii ni balaa
Naihurumia minyoo yangu
[emoji28][emoji28]duuh basi ukioa utanenepaKitambi hakiji wengine hata tule tembo hatunenepagi [emoji23]
Dah...ni Lost chicken roast....umewahi kuonja ladha ya kuku aliyepotea?[emoji23][emoji23]Lost ni kupotea nadhani ulitaka kusema roast... BTW iko vizuri
Naomba recipes zake best
Wakitiaa cheese unaweza tapikaa aaagh wale bwwna mambo yao wanayajuaa wenyewe hata cookies zao za ajabu ajabuBasi kuna rafiki yangu anafanya kazi za ndani kwa 'wazungu' ananileteaga vyakula vingine vya ajabu kweli hayo makaroni nilipata shida sana kuzoea