Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biriyani nenda kwa selebonge we mbeba box acha kula rangi hizo ramada.If by now you can’t tell I’m a foodie, you must be drinking that retarded juice. Keep on!
Chicken biryani courtesy of Ramada hotel...
View attachment 959698
Hupendi wali wa kubonyeza? Wali wa rice cooker🤣
Biriyani nenda kwa selebonge we mbeba box acha kula rangi hizo ramada.
I hope huku kwetu wana carry uwo jasmine,ntaenda kuutafuta.
Umewahi kutumia Tilda au india gate?
Hapana. Hiyo sijawahi.
Mimi napenda mchele wa Jasmine zaidi kuliko Basmati...
Rice cooker? Hapana aisee!!!
Napenda wa kuupika mwenyewe na mwiko wangu...
Okay vipi umewahi kitumia hii wanaita power pressure cooker.
Mkuu ebu kacheze drafti uko ..hiki kijiwe hakikuhusu [emoji23][emoji23]Huu upupu watu wanaopost huku huu uzi unatakiwa uitwe "uzi wa vyakula vinavyosababisha cancer"!
Hmm sidhani aisee.
Na sidhani kama ninayo.
Nina rice cookers mbili nyumbani lakini sijawahi kusoma descriptions zake kwenye boksi....so yawezekana ninayo lakini sijui.
Kwa kawaida, mimi ikija kwenye kupika huwa napenda kupika kwa mikono yangu mwenyewe.
Nachemsha maji kwenye sufuria, naweka siagi au virgin olive oil, halafu naweka mchele.
Nachukua mwiko halafu naanza kukoroga, nafunika, nafunua tena, napunguza moto, nauchanganya tena huo wali na mwiko, hatimaye naivisha.
Nikishaivisha nazima kabisa moto halafu mfuniko wa sufuria nauacha ili wali uendelee kuiva taratibu na joto la sufuria.
Sijui kwa nini tu ila ikija kwenye kupika mimi ni old school. Bado napika vile nilivyofundishwa.
Natamani siku moja nipikie jiko la mkaa ila kwa hizi nyumba zetu za huku, jiko la mkaa laweza kuwa ni Fire [emoji91] hazard.
Kwanza Hata sijui nitalipatia wapi!
Hahaha Mambo ya kupalia moto kwa juu.Me napenda sana pia kupika old schol ila mda mwengine kazi zinakua nyingi so huwa nabofya tu.
Usinkumbushe ubwabwa wa nazi wa mkaa [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Dah ngoja nile zangu kiporo hapa maana umeniletea njaa kwa huo mchemsho
Dah ngoja nile zangu kiporo hapa maana umeniletea njaa kwa huo mchemsho
[emoji23][emoji23][emoji23] leta bia mbili tushushie kwanza kabla ya lunchSubiri lunch time ifike[emoji24]
nakuja nakuja[emoji23][emoji23][emoji23] alafu toka jana saa tisa sikupati kule chemba
Hamna aliyekariri, at least yupo jirani.Oh yeah?
Mshakariri ni huyo tu ndo ajuaye kupika biryani!
Bwa ha ha ha ha.
Hamna aliyekariri, at least yupo jirani.
Biriyani halisi ilalaaa kuna chemba kule kwa tunaojua.ila we mtu wa cereal na maziwa, hata ramada hilo biriani ulikaribishwa tu.