Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Si kwamba nimebeza my dear, ni kwamba sijalielewa. Hivi umekiangalia lakini chakula nilichokuwa nimeulizia au umejibu tu kwa vile ulikuwa umepost wali kukuUmebeza pishi langu[emoji34]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kwamba nimebeza my dear, ni kwamba sijalielewa. Hivi umekiangalia lakini chakula nilichokuwa nimeulizia au umejibu tu kwa vile ulikuwa umepost wali kukuUmebeza pishi langu[emoji34]
Good morning December 17Good morning
Monday View attachment 970160
Aisee! Hii diet sasa au sioGood morning December 17View attachment 970165
Vimebaki? NaombaGood morning
Monday View attachment 970160
Haha! Vipo karibu kiwangwaVimebaki? Naomba
Ooh utumbo, nyama ya moo [emoji202], ya kuku, ya mbuzi na viungo mbalimbali... Ni mixer ya mchemsho... Ukishaziandaa nyama vipande vidoodogo unakuwa na jiko la umeme mezani (mko wengi) kwahiyo unatumbukiza vipande kadha kwenye sufuria halafu mnapakulia hapo hapo na kula na ugimbi pembeni
Leo pasi ndefu.. [emoji23] [emoji23]Jamani leo mumefunga? Au kuna mgomo baridi?
Umeenda kuoa nini jirani [emoji23][emoji23][emoji126][emoji126]Good morning
Monday View attachment 970160
Huku nlipo mimi kula kwa kengeleJamani leo mumefunga? Au kuna mgomo baridi?
Aah tafadhari jirani,Umeenda kuoa nini jirani [emoji23][emoji23][emoji126][emoji126]
Mambo ya farkhina haya.....!!Good morning
Monday View attachment 970160
Leo maombi [emoji23][emoji23][emoji23]Jamani leo mumefunga? Au kuna mgomo baridi?