Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Post kibaya tu hata cha mboga moja.... Hakuna shida[emoji23]

Jr[emoji769]
Asante mkuu
IMG-20190221-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapikaje hii jaman inaonesha yummy yummy

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimesaga siagi Na mayai then nimeweka unga Na baking powder,for hio layer ya chini ya keki.

Layer ya nyama nimechemsha nyama ya kusaga Na spices Na nimepara Carrot wakati nimeshazima moto. Nimesubiri ipoe nimeweka mayai mabichi.

Nimeweka layer ya cake katika trey juu yake layer ya nyama then juu nimeweka hohoo Na mayai mabichi tena alafu nimechoma kwenye oven.
IMG_2009.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom