Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

.
IMG-20200308-WA0086.jpeg


Jr[emoji769]
 
SIERA nakusalimu
Nifundishe basi kesho nipate cha kunywea chai

[emoji23][emoji23][emoji23] chemsha viazi ponda vikiwa vyamoto weka chumvi ndimu ya kutosha pilpili , manjano kama unayo zungusha viduara ..
Chukua ngano unga weka maji uwe mzito size ya uji bandika mafuta ..
Tia vidonge vyako kwenye unga dumbukiza kwenye mafuta makali kama dk 5 tayari


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji23][emoji23][emoji23] chemsha viazi ponda vikiwa vyamoto weka chumvi ndimu ya kutosha pilpili , manjano kama unayo zungusha viduara ..
Chukua ngano unga weka maji uwe mzito size ya uji bandika mafuta ..
Tia vidonge vyako kwenye unga dumbukiza kwenye mafuta makali kama dk 5 tayari


Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante sana my dear!kesho mzigo mezani
Usinichoke jamani😜😜😜
 
Back
Top Bottom