Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

IMG_7290.jpg
 
Hizi kitu unaweza kula mpaka ukauliza niko wapi jamani🤔
Mama kishori sa kumi anabandika bandua sa 12 saa 2 asb humjui kamaliza na hataki umweleze habari za vitumbua.
Ila mama yule alikua analea watu 20+
mle ndani, simple like that wanakula, wanalala wanaenda kuiba wakikimbizwa wanamletea kesi bibi yao.
 
Hizi kitu unaweza kula mpaka ukauliza niko wapi jamani[emoji848]
Mama kishori sa kumi anabandika bandua sa 12 saa 2 asb humjui kamaliza na hataki umweleze habari za vitumbua.
Ila mama yule alikua analea watu 20+
mle ndani, simple like that wanakula, wanalala wanaenda kuiba wakikimbizwa wanamletea kesi bibi yao.
Hatari sana hizi vitu..mimi hata vipikweje naonaga mswano tu
 
Back
Top Bottom