shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,068
- 3,507
Dada dadaaaa yatakukuta mambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora hata hii inashawishi kufanyia diet[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada dadaaaa yatakukuta mambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora hata hii inashawishi kufanyia diet[emoji4]
At your own risk [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii diet mbona kama inasababisha vidonda vya tumbo [emoji1]au ndio dalili zenyewe za mauaji[emoji38][emoji38]
Mambo gan tena dada?[emoji1]Dada dadaaaa yatakukuta mambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Badala ya kupungua unaongezeka kwa kasi ya 5G[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mambo gan tena dada?[emoji1]
Kwa kweli mi siwez ,at their own riskAt your own risk [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Em niambie ukila hivi Kila siku unanenepa?,nahitaji kupata kamwili angalau kidogo maana sio kwa wembamba huuBadala ya kupungua unaongezeka kwa kasi ya 5G[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Punguza stress then penda kula kula tu,yaani wewe kula tu kila kinachokuja mbele yako.Em niambie ukila hivi Kila siku unanenepa?,nahitaji kupata kamwili angalau kidogo maana sio kwa wembamba huu
Sawa dada ntafuata ushauriwako [emoji3590][emoji8]Punguza stress then penda kula kula tu,yaani wewe kula tu kila kinachokuja mbele yako.
Lazima vinyama viongezeke hapo
Hata hivyo wakati mwingine mwili huwa unakuja tu wenyewe.
Gain ya kg 21?[emoji849]
90 mkuu[emoji14][emoji14]
Hii diet mbona kama inasababisha vidonda vya tumbo [emoji1]au ndio dalili zenyewe za mauaji[emoji38][emoji38]
Kupungua kuzuri ni mazoezi na hakikisha calories unazokula ni chache kuliko unazotoa.
Kama unakula 1000 cal hakikisha unapunguza 1500 cal. Hiyo 500 cal deficit ndo inaleta kupungua kwa mwili in the long run.
Nilikuwa na 90kg. Nikaanza mazoezi ya kukimbia km 15 kila siku kasoro jmosi na jpili.
Ndani ya miezi mitatu nikapungua kama 10kg. Kwa siku nilikuwa nachoma between 1800 - 2000 cal.
Na sikubadili mwenendo wa kula. Nilikuwa nakula hovyohovyo vilevile.
Hizo diet hapo juu zinaweza kukuua huku unajiona.
[emoji16][emoji16][emoji16] nimeongezeka twinule mwili sidhani hata kama 70 umefika Twin[emoji2]
Jamba utakayojamba baada ya hapo, utajinasa kibao mwenyewe [emoji1787][emoji1787]
Mambo ya afya mkuu😂 😂 😂Jamba utakayojamba baada ya hapo, utajinasa kibao mwenyewe [emoji1787][emoji1787]