Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Screenshot 2021-08-02 at 16-11-43 Instagram.png
 
No!Kisusio kilichopikwa na dada siyo kitamu kwa sababu wadada huwa hawapatani na damu ndiyo maana nikakataa kuwa sitaki uniandalie wewe apo[emoji854]
Mimi nachinja hadi ng'ombe[emoji23][emoji23][emoji23]
Damu kitu gani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Umenikumbusha jana almanusura tushindwe kula nyama,,wa kuchinja kuku hakuwepo.
Kwa kweli Mimi ndege/mnyama nikishamuona anavyouliwa au nikimtia machoni baada tu ya kuchinjwa basi siwezi kumla.
 
Mimi nachinja hadi ng'ombe[emoji23][emoji23][emoji23]
Damu kitu gani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Umenikumbusha jana almanusura tushindwe kula nyama,,wa kuchinja kuku hakuwepo.
Kwa kweli Mimi ndege/mnyama nikishamuona anavyouliwa au nikimtia machoni baada tu ya kuchinjwa basi siwezi kumla.
Wewe kisusio unakijua?
 
Back
Top Bottom