Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Uvivu ukanifanya nile mboga tu

20211024_155121.jpg
 
Haha, Unatuwakilisha vyema katika suala zima la kuleta appetite jukwaa hili, Mimi nimepumzika kidogo, maana nilipo ningetuma picha ya chakula mngecheka sana leo na hizo sahani pia, jana nimekula chakula cha huku, leo nimeshindia cookies na soda.

Nitarudi kuleta appetite nikirudi kwangu, kwa sasa wacha niendelee kutamani tu.

Na sie tuliogonga kashata za machicha ya nazi na gahawa ikawa asubuhi ikawa alasiri, siku ikaisha tuseme nini?
 
Back
Top Bottom