Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Hiyo Chips Dume inavutia.

1877207_GBWA-20180927132927.jpg
Uwiiiii
 
Wife material, [emoji39][emoji39][emoji39] bado najipanga nimalizane na kaka yako. Maana najua nikiacha buku kwa siku home mambo yanakwenda vizuri tu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Wife material, [emoji39][emoji39][emoji39] bado najipanga nimalizane na kaka yako. Maana najua nikiacha buku kwa siku home mambo yanakwenda vizuri tu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji28][emoji1787]
Nilipika nyingi tu,basi tu nilimegua ninazoweka kumaliza.

Usije ukadhani nabana matumizi ,mimi siyo waifu matirio
20211127_191734.jpg
 
[emoji28][emoji1787]
Nilipika nyingi tu,basi tu nilimegua ninazoweka kumaliza.

Usije ukadhani nabana matumizi ,mimi siyo waifu matirioView attachment 2025639
Swala sio kubana matumizi bali hata nikikuachia buku, maisha yanakwenda!
Nampenda sana mtu anaejipimia kiasi cha chakula na aie anaejijazia kisha hamalizi na kukimwaga!!
 
Swala sio kubana matumizi bali hata nikikuachia buku, maisha yanakwenda!
Nampenda sana mtu anaejipimia kiasi cha chakula na aie anaejijazia kisha hamalizi na kukimwaga!!
Hata jero tu maisha yanaenda[emoji38]

Hapo ujue kuna sehemu utacompansate,,kama siyo kwenye nguo basi ni kwenye kunukia.
 
Back
Top Bottom