NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,572
- 48,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upate na Mango passion juice ya bariiiiiidi.View attachment 2469045
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemfollow, kipindi ana restaurant yake Mwanza pale U-turn nilikuwa mteja wake sana. Mpaka leo nakula kwa macho tuu kwenye post zake.Huhu umemfollow foodlover?
Malimao😅🤣 sina uhakika lakini.Ni juice gani zinapunguza mwili na tumbo ?
Anajua kupikaNimemfollow, kipindi ana restaurant yake Mwanza pale U-turn nilikuwa mteja wake sana. Mpaka leo nakula kwa macho tuu kwenye post zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikunywa juice ya ukwaju uwiii koo kama limechubuka hiviiMalimao😅🤣 sina uhakika lakini.
Wataalamu wajuice watusaidie.Nilikunywa juice ya ukwaju uwiii koo kama limechubuka hivii
Karot na tangoNi juice gani zinapunguza mwili na tumbo ?
Mideko. Sjui unani crushia😋,una like post zangu kila siku hasa za miaka ya 2017-21 ,nifungukie tu Mama,be a Hell of a Lady😀, kama nakuona unavoeleza hisia zako😋View attachment 1665697
sijui ni skonzi au mkate ila ni tamu mno[emoji39]
Let love lead[emoji173]View attachment 2470111View attachment 2470112
Binti wa watu sijuinimemfanya nini[emoji7], Love is indeed a crime