Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

_ (5).jpg
 
Labda kama sijapita kwenye picha zingine..mpost na magimbi ya kuchemsha, mihogo ya kuchemsha na maji, viazi vitamu nimeona. Mboga ziwepo na choroko, njugu mawe, upupu kwa wana nanjilinji, na kunde wadau. Nashukuru nimeona wadau wa milenda, bamia na nyanya chungu, biringanya kwa wachache. Wengi naona tunamaisha..wakishua hatari. Ni mwendo wa mayai, kuku, samaki...wanafood inspo sio wenzangu.




Am jus kidding guys.
 
Labda kama sijapita kwenye picha zingine..mpost na magimbi ya kuchemsha, mihogo ya kuchemsha na maji, viazi vitamu nimeona. Mboga ziwepo na choroko, njugu mawe, upupu kwa wana nanjilinji, na kunde wadau. Nashukuru nimeona wadau wa milenda, bamia na nyanya chungu, biringanya kwa wachache. Wengi naona tunamaisha..wakishua hatari. Ni mwendo wa mayai, kuku, samaki...wanafood inspo sio wenzangu.




Am jus kidding guys.
Quilon%20Fried%20Chicken%20%E2%80%93%20A%20Chef%20Pillai%20Recipe.jpg
 
Labda kama sijapita kwenye picha zingine..mpost na magimbi ya kuchemsha, mihogo ya kuchemsha na maji, viazi vitamu nimeona. Mboga ziwepo na choroko, njugu mawe, upupu kwa wana nanjilinji, na kunde wadau. Nashukuru nimeona wadau wa milenda, bamia na nyanya chungu, biringanya kwa wachache. Wengi naona tunamaisha..wakishua hatari. Ni mwendo wa mayai, kuku, samaki...wanafood inspo sio wenzangu.




Am jus kidding guys.

IMG_7289.jpg

IMG_6920.jpg

Mbona tunarusha viazi vitamu
 
Back
Top Bottom