mac muga 98
Member
- May 14, 2022
- 84
- 95
Unathemaaaa [emoji12]Napenda sana pia zinanisaidia nisipate choo kigumu🫣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unathemaaaa [emoji12]Napenda sana pia zinanisaidia nisipate choo kigumu🫣
Eeee hivyo hivyoUnathemaaaa [emoji12]
Silagi vichwa aiseee huo ndo ugonjwa wanguutamu wa samaki kichwa mkuu.....umekiachaje
Mimi nilishashindwa toka mdogo kula kichwa na Yale macho [emoji16]Ukitaka nisile samaki bakisha kichwa. Sili kabisa sijui nakionaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au kichwa cha kambale na zile ndevu aah bora nisile samaki kabisa.Mimi nilishashindwa toka mdogo kula kichwa na Yale macho [emoji16]
Hata mimi nazipenda sana hasa zikichanganywa na nyama au samaki.Napenda sana pia zinanisaidia nisipate choo kigumu🫣
Kwa navyojua kuyatengeneza mtindi hayatakubali sababu cream hapo inakua ishaharibiwa. Kunywa kawaida unaweza ila hayatakuwa matamu.Nilikuwa nachemsha maziwa yamekatika nayaweza kutengeneza mtindi au?na nayafanyaje au ni kumwaga tu
Kwa navyojua kuyatengeneza mtindi hayatakubali sababu cream hapo inakua ishaharibiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Restaurant au hotel gani yenye misosi mizuri hivi?
kama ushayachemsha hayo ni kumwaga tu hayatengenezeki mtindiNilikuwa nachemsha maziwa yamekatika nayaweza kutengeneza mtindi au?na nayafanyaje au ni kumwaga tu
uwiii kwetu sie mwiko kutupa kichwa yaani ndomadini yote unayapata hapo....na ule utamu wa jicho[emoji39][emoji39][emoji39]ila awe sato fresh utafurahi zaidiSilagi vichwa aiseee huo ndo ugonjwa wangu
kama ushayachemsha hayo ni kumwaga tu hayatengenezeki mtindi
[emoji3061][emoji3061][emoji3061]ayee unakosa vitu vizur sasa ila sio kila kichwa cha samaki kinaliwa mie sato,pelege ndo nakulaUkitaka nisile samaki bakisha kichwa. Sili kabisa sijui nakionaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi sawa[emoji3][emoji3]siku mojamoja sio mbaya
Sipendi ule uteute wa ndani TU naona kinyaaAu kichwa cha kambale na zile ndevu aah bora nisile samaki kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule uteute au[emoji23][emoji23]uwiii kwetu sie mwiko kutupa kichwa yaani ndomadini yote unayapata hapo....na ule utamu wa jicho[emoji39][emoji39][emoji39]ila awe sato fresh utafurahi zaidi
Wewe kula wali maharage achana na vya hotel bana ebooRestaurant au hotel gani yenye misosi mizuri hivi?
Sio kwamba zinaongeza utelezi😜Napenda sana pia zinanisaidia nisipate choo kigumu🫣
Sio kwamba zinaongeza utelezi😜