Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Mishikaki naunga inakua rosti
20230416_134840.jpg


Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Makange [emoji23]
Anhaa kumbe

Ila nitajie viungo vya kuweka kwenye mboga mfano rosti ya nyama ili kuongeza ladha maana mimi nawekaga kitunguu,nyanya,ndimu basi [emoji28]

Nikiendaga sehemu nyingine nakuta wamepika mboga tamuu nabaki najiuliza wanaweka manini mule

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom