mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
aisee na huu ubonge😂 hadi mama akiniambia nitume picha nakataaNdio maana hutaki kurudi kwenu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee na huu ubonge😂 hadi mama akiniambia nitume picha nakataaNdio maana hutaki kurudi kwenu😂
Pole sanaaisee na huu ubonge😂 hadi mama akiniambia nitume picha nakataa
kwenda hukoPole sana
Angalia usinenepe sanakwenda huko
niko kwenye process za kukonda😅Angalia usinenepe sana
Tuma za zamani ili nijue kutofautishaniko kwenye process za kukonda😅
nkifanikiwa ntakutumia desa
Naomba ubuyu 🥺Dear chips kavu, I love you.View attachment 2744015
hiyo ndizi ambayo kama imeiva flani, afu ikakaangwa.... tamu balaa😋
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥baada ya mama ntilie kupandisha bei ya wali kutoka 1500 mpaka 2000.nikasema acha ninunue jiko nianze kupika mwenyewe.bwana wee kinachonikuta ni zaid ya majanga.nikiweka maji meng yanatoka madida.niseme nipunguze wali unatoka mbichi.nikiweka chumvi inazid nikisema nipunguze yaan inapungua kabisa kama sijaweka.heshima kwa wapishi
🤣🤣🤣 polebaada ya mama ntilie kupandisha bei ya wali kutoka 1500 mpaka 2000.nikasema acha ninunue jiko nianze kupika mwenyewe.bwana wee kinachonikuta ni zaid ya majanga.nikiweka maji meng yanatoka madida.niseme nipunguze wali unatoka mbichi.nikiweka chumvi inazid nikisema nipunguze yaan inapungua kabisa kama sijaweka.heshima kwa wapishi
nisamehe bure😅 ila naona aibuTuma za zamani ili nijue kutofautisha
Njoo uchukue babe 😋 na ni mtamujeNaomba ubuyu 🥺
😂 mnooo youngiehiyo ndizi ambayo kama imeiva flani, afu ikakaangwa.... tamu balaa😋
Sio kavu hizo kuna mazaga kibao kavu ni zenyewe na chumvi tu nilikula turiani.Dear chips kavu, I love you.View attachment 2744015