Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

1698880307970.png
 
Aisee hii ndiyo menyu Bora ya miaka hamsini ijayo. Hakuna mwanaume ambaue haifurahii hii menyu Tena hapo ukiongezea na vinyanya chungu kadhaa yaani daah... Pilau biriyani tuupa kulee.

Nimetoka kuitandika mchana wa Leo kama hii na hapo nimeifuliliza toka j3 na hainichoshi. Na kesho naigonga tena.

Uzuri naitoaga mwenyewe home. Kwa wakazi wa Mbeya hapo unaitia na parachichi Moja kubwa sana pembeni baada ya kama lisaa limoja hivi ni mzinga wa konyagi murua kabisa.

Ebwana kwanza kula tano hapo Kwa hiyo menyu yetu pendwa isiyo na gharama ila utamu wake una gharama kubwa sana pindi unapolimeza lile tonge lililosheheni hayo makitu mzee...
 
Aisee hii ndiyo menyu Bora ya miaka hamsini ijayo. Hakuna mwanaume ambaue haifurahii hii menyu Tena hapo ukiongezea na vinyanya chungu kadhaa yaani daah... Pilau biriyani tuupa kulee.

Nimetoka kuitandika mchana wa Leo kama hii na hapo nimeifuliliza toka j3 na hainichoshi. Na kesho naigonga tena.

Uzuri naitoaga mwenyewe home. Kwa wakazi wa Mbeya hapo unaitia na parachichi Moja kubwa sana pembeni baada ya kama lisaa limoja hivi ni mzinga wa konyagi murua kabisa.

Ebwana kwanza kula tano hapo Kwa hiyo menyu yetu pendwa isiyo na gharama ila utamu wake una gharama kubwa sana pindi unapolimeza lile tonge lililosheheni hayo makitu mzee...
Hio combo sio kitoto [emoji91]
 
Back
Top Bottom