Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Nielekeze basi kuna ile sehemu ya rich sijui nin ,hivi muda unajiset automatic?
Muda inajiset
Kulingana na batani uliyochagua

Rich ni wapi hapo tena
Mpk nione sasa sipo nyumbani

Kama wapika wapi unapress batan yake, dk inajiweka yenyewe
 
Ni multicooker/ pressure cooker

Inapika wali.. kwenye wali waweza pika na pilau
Maharage na ndugu zake

Nyama na mishemsho yote

Kuna siku gas ikakata shwaa
Nikapikiamo ugali
Oh kumbe

Maana tunaona mjadala unaendelea tu hatuelewi[emoji23][emoji23]

Hatari sana
Hiyo nzuri kwa maisha ya ghetto.
 
Mkuu Mshana tukumbushane hapa,
"Huu uzi wa vyakula tu"
Ww umeuanzisha.
Tokea mwanzo ukaweka panya kwenye mkate nikakosoa,
Kuna wengine wakaweka mende na wadudu wa ajabu nikakosoa,
Sasa tena umeanza kuweka wanyama wa ajabu miguu ya kenge ,mijusi, mnakula kwenu huko?
Panyabuku?Mamba,Nyau pori,
Nyoka
Uliona wapi mtanzania anakula hao wadudu?
Mbona vyakula vingi tu vipo vya kawaida tu.
Uzi umeanzisha mwenyewe unaharibu mwenyewe,
Hapa watu tunakuja na njaa zetu kuja kula,
Hayo matakataka huwa unaweka yaani unatukata stimu kabisa.
Ujinga gani huu unafanya?
Weka hata makande pls,
Sasa njaa yangu yote imekata kwaajili ya wewe umeweka picha mchuzi limguu la mnyama gani sijui,
Inatia kichefuchefu.
Hapa Chakula nashindwa kula tena,upuuzi gani huu.
Kiukweli inakera sana ayafute hayo mapicha bana
 
IMG_0667.jpg
 
Back
Top Bottom