Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vya kusubiria siwezi
Nishanunua Dessin
Mie kitu nikikipenda nasubiria.. labda vile nimeshazoea kwenye biashara..
Kama cooking ware siku hizi nasubiria tu, kusema ukweli wenzetu huko wana vitu vizuri..
China Silvercrest wamezitohoa zinafuka Moshi balaa Sina hamu mie.[emoji119]
Jaribu korea
Lipo limejaa tele ila post za nyuma, ni vile tu sasa hivi nipo kama sipo duniani 😀binti kiziwi nataka kuona pishi lako humu😂
Asantee!Depends na skin type yako
Original for dry skin
Marula all skin types
[emoji173][emoji419][emoji375][emoji1545] My apology..Asante umesema ndio nimefungua huu uzi niongee hiki pia, Mshana Jr nakuomba kaka yangu nyoka, mijusi sijui kenge usiwe unatuwekea humu.
Mimi binafsi huwa nakuwa inspired sana na vyakula vya humu juzi nakula nimefungua uzi nakutana na vyakula vya ajabu niliacha kula na nilipata kichefuchefu na kinyaa kwa muda mrefu sana.
Tunaomba wote tuwe tunaweka vyakula ambacho hata mwenzio akiona anajisikia vizuri wale wa kupika tukapike sio kukatishana tamaa ya kula [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngano+DonaView attachment 2806731