Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji39][emoji119]
Nyingine napika za watoto kula nyumbanikwahiyo una deliver keki kwenye matukio kila siku?
Kumbe unaweza kuchanganya dona kwenye keki na ikatoka vizuri??Ngano+DonaView attachment 2806731
Hiyo cake nilitakiwa niweke unga 150gKumbe unaweza kuchanganya dona kwenye keki na ikatoka vizuri??
Ratio yake ( unga) inakuwaje kwa keki ya kilo 1???
Na haziitaji kimbelembele kufungua fungua hilo bomu utajikuta uko mbinguni uanze kuuliza umefikaje bila nauliNyama ina sehemu yake
Maharage sehemu yake
Yan ww kazi ni kuweka unachopika kisha unapress batani husika. Dk zinajiweka zenyewe
YahNi kweli ili nichukue hii tip?
Maji mara1Maharage linapika kilo ngapi? Na maji naweka mara ngapi?
Mpaka utoe mvuko wote kabisa Ndio ufungueNa haziitaji kimbelembele kufungua fungua hilo bomu utajikuta uko mbinguni uanze kuuliza umefikaje bila nauli