MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Patakucha tu, saizi wacha nijipoze na pichaUnge enda golden fork mikocheni, sema nahisi pamesha fungwa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Patakucha tu, saizi wacha nijipoze na pichaUnge enda golden fork mikocheni, sema nahisi pamesha fungwa mkuu.
Pamoja SanaPatakucha tu, saizi wacha nijipoze na picha
Kaka umevamia na huku?MastaKiraka comrade hulali!
Mi nipo bhana, kaka master ali like comment yangu.Kaka umevamia na huku?
Huu ni unyanyasaji wa waziwazi🤸🤸Aahahahahaa ila asikwambie mtu, kula mkono unaupata utamu wa chakula moja kwa moja yaani nyama kwa nyama, shurti vidole viguse mdomo au ulimi 😜.
Akili yangu hiwa haiwezagi kutofautisha utamu wa chakula na sex...
Pata picha mkitiana kavukavu yaani nyama kwa nyama na mnapotiana kwa kutumia mpira aka ndomu....
Ladha ndo mpango mzima...😊
Basi tuu ustaarabu wa watu weupe, ila ule usemi wa utamu mpaka kisogoni ni kula msosi kwa mkono, shurti uufinye halafu unalisokomezea tonge mdomoni hapo mate yamekaa tayaritayari kupokea mzigo kurindima nao hapo mdomoni kisha kuuteremsha tumboni bila bugudha...
Muulize Baltazar ile ya kupaka mate, mate nayo yana kazi yake kwenye umeng'enyaji...
Khaaa!!! Mnisamehe bure nimejisahau kama niko uzi wa vyakula, watoto mzibe pua msisikie na kusoma hekaya za Bibi.