Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Garlic butter.jpeg
 
Aahahahahaa ila asikwambie mtu, kula mkono unaupata utamu wa chakula moja kwa moja yaani nyama kwa nyama, shurti vidole viguse mdomo au ulimi 😜.

Akili yangu hiwa haiwezagi kutofautisha utamu wa chakula na sex...

Pata picha mkitiana kavukavu yaani nyama kwa nyama na mnapotiana kwa kutumia mpira aka ndomu....

Ladha ndo mpango mzima...😊

Basi tuu ustaarabu wa watu weupe, ila ule usemi wa utamu mpaka kisogoni ni kula msosi kwa mkono, shurti uufinye halafu unalisokomezea tonge mdomoni hapo mate yamekaa tayaritayari kupokea mzigo kurindima nao hapo mdomoni kisha kuuteremsha tumboni bila bugudha...

Muulize Baltazar ile ya kupaka mate, mate nayo yana kazi yake kwenye umeng'enyaji...

Khaaa!!! Mnisamehe bure nimejisahau kama niko uzi wa vyakula, watoto mzibe pua msisikie na kusoma hekaya za Bibi.
Huu ni unyanyasaji wa waziwazi🤸🤸
 
Back
Top Bottom