Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ubende?
Nimetamani hizo snickers [emoji39][emoji39]View attachment 3237351
Mwenye hii kiwanda ya Snickers anataka kuniharibu meno.....[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
I just can't control my watering mouth whenever I see a bar of snickers.
The sweetness is the genre [emoji39].
Samaki wako [emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji2772] iko [emoji91][emoji91]
Nimetamani hizo snickers [emoji39][emoji39]
Twix na KitKat unazipenda pia?View attachment 3237351
Mwenye hii kiwanda ya Snickers anataka kuniharibu meno.....🥺🥺🥺
I just can't control my watering mouth whenever I see a bar of snickers.
The sweetness is the genre 😋.
Twix na KitKat unazipenda pia?
Ila kuwa mwangalifu usije ukapata kitambi 😀.
Hahahaa.Zamani nilikuwa mdau wa KitKat ila Snickers ameshika hatamu na sioni mpinzani wa kumtoa 😋😋.
Twix sijawahi kuzipenda, ina mchanganyiko ambao haujaninogesha.
Aahahahahaa kitambi kinaniogopa, nakitoa barabarani kwenye kukimbiza upepo 😅. Sema pia kuna muda najisahaulisha sitaki kuziendekeza sana, huwa naacha nipate hamu halafu nikifululiza kula naipotezea.
Nilijiwekea namna ya kudhibiti hata mazagazaga mengine.
Halafu nimekumbuka, nilipata chimbo la Biriani sehemu 2 tofauti, moja ilikuwa ya kuku nyingine lamb. It was superb, 😋😋😋😋.
Sikuchukua taswira 🤪.
Hahahaa.
Hapa huwa tunagombana wakati mwingine kisa gummy bears 🤣.
Haribo Goldbears na Gatorade is 👏.
View attachment 3251097