Uzi wa walevi: Je, nyimbo gani unapenda kuisikia ukiwaumelewa?

Uzi wa walevi: Je, nyimbo gani unapenda kuisikia ukiwaumelewa?

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau!

Kautafiti nilichokafanya nimegundua kila mlevi na mnywaji kuna nyimbo huwa anaipenda kuisikia pale pombe inapokolea au anapokuwa anakunywa.

"Nainua mkono mama kitambaa cheupee...hayo yote ni kitambaa cheupeee"- ni moja kati ya nyimbo ambazo nikizisikia kama nilipanga kunywa bia mbili lazima niongeze nyingine.

Je, mlevi mwenzangu ni nyimbo gani ukiisikia lazima uongeze bia?😀😀😀😀
 
Masawe alikuwepo....eti na chuwa naye alikuwepo..tukallewa tikalewa tukalewa
Bas rafael akaanzisha ugomvi pale kwa kumshika shika mke wa mtu!!!!

Mmewe akaropoka kima wwe unamshikaje mke wangu!!!basi ikawa ni mwendo wa matusi tu huyu mala kamtukana mwenzie Fala Wwe!!!![emoji16]

Wakati anajiandaa kurusha mawe!!!
Rafael akaluka Teke kali....jamaa mpka chin!!!! Tukajua ameua!!!!!

Wakati anajiandaa kukimbia si ndo akakamatwa na afande charle!!!!!!mi nikamwambia Afande charle muache rafael akalale!!!; akasema hapana huyu ataweza kua ameuwa na lazima!! Kituon akalale;;!!!

Bas kwakua Rafael kaulowanya, !!!!!
Pesa zangu polisi nitazitawanya!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  1. CCM Mbele kwa Mbele by Hayati Captain John Komba
  2. Risky by Davido
  3. Reason to drink by Colle Swindell
  4. No money No Life by Hayati Remmy Ongalla
 
safari ya samburu(samba mapangala)
na ile ya peleka mtoto shule apate elimu atafaidika kwaakili yake
ukiwa vyombo unaweza kulia kwa uchungu sana ukaliza watu baa mana zinagusa hisia
 
Back
Top Bottom