Uzi wa walevi: Je, nyimbo gani unapenda kuisikia ukiwaumelewa?

Uzi wa walevi: Je, nyimbo gani unapenda kuisikia ukiwaumelewa?

Bas rafael akaanzisha ugomvi pale kwa kumshika shika mke wa mtu!!!!

Mmewe akaropoka kima wwe unamshikaje mke wangu!!!basi ikawa ni mwendo wa matusi tu huyu mala kamtukana mwenzie Fala Wwe!!!![emoji16]

Wakati anajiandaa kurusha mawe!!!
Rafael akaluka Teke kali....jamaa mpka chin!!!! Tukajua ameua!!!!!

Wakati anajiandaa kukimbia si ndo akakamatwa na afande charle!!!!!!mi nikamwambia Afande charle muache rafael akalale!!!; akasema hapana huyu ataweza kua ameuwa na lazima!! Kituon akalale;;!!!

Bas kwakua Rafael kaulowanya, !!!!!
Pesa zangu polisi nitazitawanya!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You made my night [emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1548][emoji1536][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi sinywi ila kuna mwimbo wa bongo fleva mpya mpya (furaha ni kulewa sijui niniiiniii. Alafu kiitikio (sisi ni waleviii tunapenda kulewaaaaa)[emoji13]
 
Back
Top Bottom