Bas rafael akaanzisha ugomvi pale kwa kumshika shika mke wa mtu!!!!
Mmewe akaropoka kima wwe unamshikaje mke wangu!!!basi ikawa ni mwendo wa matusi tu huyu mala kamtukana mwenzie Fala Wwe!!!![emoji16]
Wakati anajiandaa kurusha mawe!!!
Rafael akaluka Teke kali....jamaa mpka chin!!!! Tukajua ameua!!!!!
Wakati anajiandaa kukimbia si ndo akakamatwa na afande charle!!!!!!mi nikamwambia Afande charle muache rafael akalale!!!; akasema hapana huyu ataweza kua ameuwa na lazima!! Kituon akalale;;!!!
Bas kwakua Rafael kaulowanya, !!!!!
Pesa zangu polisi nitazitawanya!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]