TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Bas rafael akaanzisha ugomvi pale kwa kumshika shika mke wa mtu!!!!Masawe alikuwepo....eti na chuwa naye alikuwepo..tukallewa tikalewa tukalewa
Hata mm kwa nyimbo za Fally nikiisikia ngoma ya "La Vie est belle" ya Fally Pupa kama upo karibu yangu lazima nimuite waiter akuongeze bia tanoπππFeregora na fally ipupa naweza kukesha
Duuh ww ndio utakuwa yule mshikaji ambaye ikipigwa Kisanola lazima asimame amwage UNOπππKisanola
Rangi Ya Chungwa
πππππππMasawe alikuwepo....eti na chuwa naye alikuwepo..tukallewa tikalewa tukalewa
Savanah inakuwaga na radha ya pepsi kumbeππToast
Nikilewa Pepsi lakini
[emoji3][emoji3]Duuh ww ndio utakuwa yule mshikaji ambaye ikipigwa Kisanola lazima asimame amwage UNO[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]Toast
Nikilewa Pepsi lakini
Yes dear[emoji3][emoji3]
Ya Koffee Au
Hiyo ngoma ya Madilu na hile ya "vunja mifupa kama bado meno ipo "zikipgwa kama unapombe kichwani lazima uliee ,maana zina memory kali.πππZama hizo nikishawiva ilikuwa lazima nisikilize Biya ya Madilu System.