Uzinduzi antivirus mixtape 26/11/11

Uzinduzi antivirus mixtape 26/11/11

Kalila

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2010
Posts
245
Reaction score
58
Wadau na mashabiki wote wa muziki bongo muziki unalipa tukutane viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii bamaga k'nyama tar 26/11/2011 kuanzia saa 12 kiingilio sh 5000 wasanii kibao sugu mkoloni mapacha dan msimamo adili LWP mabaga fresh soggy doggy big doggy pouse mazese crew peenlawyer. Wakiongoza na dj JD ,majizo, BBG. big stage big sound kutoka ENTARTIMENT MASTERS hii si ya kukosa ANTIVIRUS WITH NO APOLOGY
 
mimi sio sugu na wala sio msanii bt nasapport movement nachukizwa na ujinga wa clouds kujifanya wana haki miliki ya mziki bongo
 
Du litakuwa bonge la show,sipati picha.
 
chuga town lini watatia timu njooni tuenzi HIP HOP
 
Safi sana hii nimeiona kwa soggy kule facebook poa tupo pamoja!!Mkuu
 
Namkubali sana Sugu,sikujui kumbe hawa kina FA,FID Q,AFANDE,JOH MAKINI,N2N,KALIPINA NA WENZAKE e.t.c wote wanafiki tu.badala ya wai kuongeza nguvu kwa sugu wanajitenga....
Dar es salaam,nairobi,mombasa
bujumbura,kigali,kishansa
................
sugu ni chama kubwa kama arsenal,
bado nipo dimbani na mic ipo mkononi,
labda huku niliko nifwateni,
mana inaonekana nitachelewa kushuka chini,
inashangaza kuona mda unavyokwenda,
nacheza mchezo wa hip hop ndo kitu nachokipenda,
cheki maplayer haters navyowapiga denda........
 
Wadau na mashabiki wote wa muziki bongo muziki unalipa tukutane viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii bamaga k'nyama tar 26/11/2011 kuanzia saa 12 kiingilio sh 5000 wasanii kibao sugu mkoloni mapacha dan msimamo adili LWP mabaga fresh soggy doggy big doggy pouse mazese crew peenlawyer. Wakiongoza na dj JD ,majizo, BBG. big stage big sound kutoka ENTARTIMENT MASTERS hii si ya kukosa ANTIVIRUS WITH NO APOLOGY
Dah! Long time sijamuona mtu mzima DJ JD aki spin free style scratching huku aki swing kwa swaga za ki dj za ukweli! I will be there kuwasapoti lakini zaidi mifuto ya Dj JD! Ila matangazo bado sana biashara asubuhi!
 
Watakuja wapenda matusi...inaonesha hata hiphop hawaijui,tangu ln mixtape ikawa na uznduz?kama co sugu anataka kuwadhurumu wenzie!kwa nn vinega wote hawana elimu?kwa nin vinega wote wamepotea kwny game?kam wanabbniwa na clouds,kwa nin nymbo zao hazpgw redio nyngne?niambie n nymb gan katka hyo mixtape inafaa kupgwa kwny teleshen ya taifa?niambie n nymbo gan ktk hyo mixtape inaweza kupendwa na watu makn kama zito au prof.shivji?...tar26 naenda kumchek m2 mzima DMX..Et Antivirus? Soggy dog =magamba..sugu = magamba..wu z virus sugu o soggy?
 
Watakuja wapenda matusi...inaonesha hata hiphop hawaijui,tangu ln mixtape ikawa na uznduz?kama co sugu anataka kuwadhurumu wenzie!kwa nn vinega wote hawana elimu?kwa nin vinega wote wamepotea kwny game?kam wanabbniwa na clouds,kwa nin nymbo zao hazpgw redio nyngne?niambie n nymb gan katka hyo mixtape inafaa kupgwa kwny teleshen ya taifa?niambie n nymbo gan ktk hyo mixtape inaweza kupendwa na watu makn kama zito au prof.shivji?...tar26 naenda kumchek m2 mzima DMX..Et Antivirus? Soggy dog =magamba..sugu = magamba..wu z virus sugu o soggy?

Ww tu na roho yako kamwambie rugay kuwa hawezi kushindana na sugu hata kama anatumia ikulu na sasa wanaenda kumwaga sumu vyuoni ili wasusie upuuzi wa wafu fm nyie mnaona raha sana wasanii wakiwa empty waje kuwapiga vizinga hata nigeria walisusia shoo ya 50 cent na ndo chanzo cha wasanii kulipwa vizuri sisi je kwanza DMX hilo mmepigwa changa kwenye ratiba yake ya shows hajaiweka tz labda mkamfufue michael jackson
 
Namkubali sana Sugu,sikujui kumbe hawa kina FA,FID Q,AFANDE,JOH MAKINI,N2N,KALIPINA NA WENZAKE e.t.c wote wanafiki tu.badala ya wai kuongeza nguvu kwa sugu wanajitenga....
Dar es salaam,nairobi,mombasa
bujumbura,kigali,kishansa
................
sugu ni chama kubwa kama arsenal,
bado nipo dimbani na mic ipo mkononi,
labda huku niliko nifwateni,
mana inaonekana nitachelewa kushuka chini,
inashangaza kuona mda unavyokwenda,
nacheza mchezo wa hip hop ndo kitu nachokipenda,
cheki maplayer haters navyowapiga denda........

Hao wote ni kama misukule hawajielewi wanasubiri kuvalishwa tshirt za zinduka dili alilofight sugu. Ila ipo siku watamkubali tu sanaa ni biashara wao wanajua kupata mademu tu
 
Watakuja wapenda matusi...inaonesha hata hiphop hawaijui,tangu ln mixtape ikawa na uznduz?kama co sugu anataka kuwadhurumu wenzie!kwa nn vinega wote hawana elimu?kwa nin vinega wote wamepotea kwny game?kam wanabbniwa na clouds,kwa nin nymbo zao hazpgw redio nyngne?niambie n nymb gan katka hyo mixtape inafaa kupgwa kwny teleshen ya taifa?niambie n nymbo gan ktk hyo mixtape inaweza kupendwa na watu makn kama zito au prof.shivji?...tar26 naenda kumchek m2 mzima DMX..Et Antivirus? Soggy dog =magamba..sugu = magamba..wu z virus sugu o soggy?

Hayo matusi ndo yanamfanya rugay akose usingizi karibu bamaga kwenye mating'a ya ukweli
 
Du litakuwa bonge la show,sipati picha.

Noma big stage aliyoperfom tpain gyptian na mims hakuna mfano nchini na kwa majirani sio wasanii wa nje ndo waimbe kwenye jukwaa zuri hata local wanaweza
 
Ww tu na roho yako kamwambie rugay kuwa hawezi kushindana na sugu hata kama anatumia ikulu na sasa wanaenda kumwaga sumu vyuoni ili wasusie upuuzi wa wafu fm nyie mnaona raha sana wasanii wakiwa empty waje kuwapiga vizinga hata nigeria walisusia shoo ya 50 cent na ndo chanzo cha wasanii kulipwa vizuri sisi je kwanza DMX hilo mmepigwa changa kwenye ratiba yake ya shows hajaiweka tz labda mkamfufue michael jackson

Kwa maandsh yako tu nshakujua wewe n nan?tuache hayo..kwan cfa ya kuw kneg lzm uwe na matusi?Hv kat ya vineg.a nan anayejua hiphop?hkuna hta m1..Iv mbunge ana muda gan wa kupoteza na kukaa kuanza kuandka matus badala ya kutatua matatzo ya wananch yake?..kama mnabaniwa na cloudc nymbo zenu znapgwa na radio gan?kama mnanyonywa na soko la ndan..iv i sugu c alikuwa marekan?kwa nn hakutoka?au soko la marekan lmetekwa na ruge? Am Anti Anti-Virus...yoo
 
Kwa maandsh yako tu nshakujua wewe n nan?tuache hayo..kwan cfa ya kuw kneg lzm uwe na matusi?Hv kat ya vineg.a nan anayejua hiphop?hkuna hta m1..Iv mbunge ana muda gan wa kupoteza na kukaa kuanza kuandka matus badala ya kutatua matatzo ya wananch yake?..kama mnabaniwa na cloudc nymbo zenu znapgwa na radio gan?kama mnanyonywa na soko la ndan..iv i sugu c alikuwa marekan?kwa nn hakutoka?au soko la marekan lmetekwa na ruge? Am Anti Anti-Virus...yoo

Hatumind nyimbo kutopigwa radioni kwanza chanzo chz wafu fm kutubania ni kwamba hatukutaka kuwalamba miguu i mean ndiyo mzee kwa kila jambo kwanza sugu hajafahamika kupiti clouds ni longtime sugu angeweza kukaa kimya tu ila lazma awatete wenzake coz ni aibu kwa taifa wasanii kuwa maskini huku wakina rugay wakifaidi jasho la msanii movement imefika pazuri matusi hata wamarekani wanatukana au kwa vile wao wanaimba kizungu. Radio one times nk wanapiga nyimbo za vinega
 
Hatumind nyimbo kutopigwa radioni kwanza chanzo chz wafu fm kutubania ni kwamba hatukutaka kuwalamba miguu i mean ndiyo mzee kwa kila jambo kwanza sugu hajafahamika kupiti clouds ni longtime sugu angeweza kukaa kimya tu ila lazma awatete wenzake coz ni aibu kwa taifa wasanii kuwa maskini huku wakina rugay wakifaidi jasho la msanii movement imefika pazuri matusi hata wamarekani wanatukana au kwa vile wao wanaimba kizungu. Radio one times nk wanapiga nyimbo za vinega

Acha uwongo wewee hakuna radio inayopga nymbo zenu..mnaimba matusi,sasa radio itapga nymb za matuc?..kwa kuwa wamarekan wanatukana na nyie ndo mana mntukana!khaa km nd hvyo uingerez n mash..oga na nyie kuwen ma.s..hoga bac..et unajcf kabsa ..khaa!yoo
 
Watakuja wapenda matusi...inaonesha hata hiphop hawaijui,tangu ln mixtape ikawa na uznduz?kama co sugu anataka kuwadhurumu wenzie!kwa nn vinega wote hawana elimu?kwa nin vinega wote wamepotea kwny game?kam wanabbniwa na clouds,kwa nin nymbo zao hazpgw redio nyngne?niambie n nymb gan katka hyo mixtape inafaa kupgwa kwny teleshen ya taifa?niambie n nymbo gan ktk hyo mixtape inaweza kupendwa na watu makn kama zito au prof.shivji?...tar26 naenda kumchek m2 mzima DMX..Et Antivirus? Soggy dog =magamba..sugu = magamba..wu z virus sugu o soggy?

inaoneka bado hujakua,mshamba na unapenda kushobokea mastaa!.......
 
Back
Top Bottom