At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Naomba nijumuishwe tumfurushe mama. Katiba itapatikana endapo wananchi tukiungana.UZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA "WAKA" TAREHE 28/08/2021
WAKA Wananchi&Katiba
Dar es salaam., Tanzania
9 JUL 2021 —
Nachukua fursa hii kuwatangazia kua Uzinduzi rasmi wa Kampeni ya WAKA (Wananchi na Katiba) utafanyika tarehe 28/08/2021 ukumbi wa LAMADA HOTEL, ILALA - DAR ES SALAAM kuanzia saa 2 kamili asubuhi mpaka saa 8 mchana.
Nyote mnakaribishwa kwenye kongamano hilo.
Pia nichukue fursa hii kuwafahamisha kua Jaribio la Daftari la WAKA (Wanancbi & Katiba) linaendelea katika wilaya mbalimbali za Jiji la Dar es salaam.
WAKA tunawashukuru wananchi wenzetu kwa ushirikiano.
Yahaya Omary Mpanda.
View attachment 1885141
Hili jambo lisiwe la kisiasa.
Viongozi wa siasa wawaachie wananchi wajiendeshe.