Uzinduzi rasmi wa kampeni ya Wananchi na Katiba ‘WAKA’ kufanyika tarehe 28/8/2021 jijini Dar es Salaam

Naomba nijumuishwe tumfurushe mama. Katiba itapatikana endapo wananchi tukiungana.
Hili jambo lisiwe la kisiasa.
Viongozi wa siasa wawaachie wananchi wajiendeshe.
 
Naomba nijumuishwe tumfurushe mama. Katiba itapatikana endapo wananchi tukiungana.
Hili jambo lisiwe la kisiasa.
Viongozi wa siasa wawaachie wananchi wajiendeshe.
Kufanya harakati za katiba mpya yenyewe ni siasa halafu unataka viongozi wa siasa waache ?
 
Aibu sana kizazi cha sasa kuongozwa na katiba iliyokufa.
 
Mtawaka nyie mapema sana ,ukuta uko wapi wau ukawa


USSR
Mkuu kwani katiba kwenu ina shida gani?
Naona mnavyoipinga kwa nguvu zote. Yaani mpo tayari hata kuua na kuwafunga watu kisa tu wanadai katiba mpya ambao ndio mwongozo wao. Kwani mnataka muwaongoze watu kwa hisani zenu?

Mnavyokomalia kuwakataza ndio mnawafungua akili watanzania.
 
Napendekeza na tasisi nyingine zijitokeze kudai katiba mpya.
Tuelimishane kwenye vijiwe vya bodaboda,bajaji,machinga kunasiku wataelewa tu
umuhimu wa katiba mpya.
chama kimoja kinatuchagulia watu inayowataka wao na sio tunao wataka sisi.
 
Huyo anayepinga hajui hata anachopinga anafuata mkumbo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…