Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mandonga haoYani maneno wanayotumia ndiyo ingekua vitendo, tungekua mbali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mandonga haoYani maneno wanayotumia ndiyo ingekua vitendo, tungekua mbali sana.
Chomoa uj.ambimekuuma?
Ulaya ipo hiyo? Labda viazi ulayaMwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema jezi za timu hiyo msimu wa 2022/23 zitazinduliwa wiki hii na zitatengezwa Ulaya badala ya Asia.
Uturuki bei rahisi kuliko China, Uturuki unaweza dhibiti fekiJezi utengenezee Ulaya wakati Adidas, anawatengenezea jezi Madrid, Asia. Acheni ushamba huo. Mandonga FC.
🤣🤣🤣🤣🤣Na anaishika mic kwa ustadi mkubwa sana
Aisha manyula mayele anamsubiri ampanue tena kwenye ngao ya jamiiJoyce lomalisa okra's wife
Huna akili na tecno yako mbovu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaa kwa kutulia weyeee, lolKombe lenu lipi hilo? Ninachojua bonanza la mapinduzi ni January ndo kombe lenu
Aziza atakua mali ya mwamba wa Lusaka, biriginiaa mali ya boko.Halafu Aisha atakuwa ni mali ya Abutwalib Mshery, na Habiba atakuwa ni mali ya Nkane Denis!
Imekaaje hiyo!
Tunamsubiri kwa hamu mzee wa kutikisa manyonyoAisha manyula mayele anamsubiri ampanue tena kwenye ngao ya jamii
So aisha kishamanua anasubiria ipite tuTunamsubiri kwa hamu mzee wa kutikisa manyonyo
Muwe mnatuliza matako. Kwani vilabu vyote vinavyoendelea na usajili kama Barca n.k havipo pre-season?? Timu nyingi tayari zipo pre season na zinaendelea na usajili.Next week usajili. Pre-season lini sasa?
MAKOLO mmebakiza kombe la Mbuzi linalochezewa Tandale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2309778
View attachment 2309892
Leo ni uzinduzi rasmi wa Simba Week, tuna mambo mengi kwenye wiki hii.
"Msimu huu tunarudi kwa nguvu, tunarudi kutetea ubingwa wetu na slogan yetu ni WE ARE UNSTOPPABLE - HATUSHIKIKI – HATUZUILIKI.- CEO Barbara
Zoezi la usajili bado linaendelea. Wiki ijayo timu yetu ya digital itaanza kutangaza wachezaji wengine.- CEO Barbara.
Kesho mtajua tofauti ya mdhamini na msaada. Tutakuwa na tukio na mdhamini wetu mpya, kampuni ya M-Bet."
"Wachezaji ambao tunawasajili sio wa sandakalawe, ni wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao hivyo kunakuwa na ugumu kuwapata, inabidi kuzungumza na vilabu vyao ili kuwashawishi."- Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally.
Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema jezi za timu hiyo msimu wa 2022/23 zitazinduliwa wiki hii na zitatengezwa Ulaya badala ya Asia.