Uzinduzi Simba Week: Simba Sc-We are Unstopable

we are unstopable.

ila Asha Baraka bana,ila acha nikaushe tu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji40][emoji40]
 
Halafu Aisha atakuwa ni mali ya Abutwalib Mshery, na Habiba atakuwa ni mali ya Nkane Denis!

Imekaaje hiyo!
Aziza atakua mali ya mwamba wa Lusaka, biriginiaa mali ya boko.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti
 
Next week usajili. Pre-season lini sasa?
Muwe mnatuliza matako. Kwani vilabu vyote vinavyoendelea na usajili kama Barca n.k havipo pre-season?? Timu nyingi tayari zipo pre season na zinaendelea na usajili.

Kwa akili kama hizi za Kushindwa kuchanganua mambo madogo madogo unategemea nani akupe kazi??
Hata ukijiajiri utafika wapi kwa akili hizi??

Vijana tuache ushabiki maandazi
 
MAKOLO mmebakiza kombe la Mbuzi linalochezewa Tandale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…