Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda na Gharama

Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda na Gharama

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Marekani ni sahihi kabisa ila kuzindua Filamu Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda.

Kama serikali ilikua serious ilipaswa filamu hiyo baada ya kuzinduliwa Marekani, ikazinduliwe Ulaya na Kisha Asia kama Japan, China, South Korea, Malaysia, Thailand, India nk.

Tukubaliane kwamba ili mtu aweze kufanya utalii lazima awe na uwezo wa kutunza pesa za ziada ama savings ila kama hana uwezo wa kutunza pesa za ziada hawezi kufanya utalii.

Kwa msingi huo unaweza kuona watu wenye uwezo wa kufanya savings za kutalii wako Marekani, Ulaya na sasa Asia.

Jambo la pili, kama lengo la filamu ilikua kutangaza na kuonyesha vivutio vya utalii vya Tanzania huko Duniani, unakujaje kuzindua filamu hiyo Tanzania, kwani kuna mtanzania hajui Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na ukipita kilimanjaro siku kuna hali ya hewa nzuri unauona ukiwa hata kwenye basi.

Kuna mtanzania asiejua Serengeti national park iko Tanzania, ama Zanzibar? Mnatangaza utalii Tanzania wakati middle class ambao wanaweza kufanya savings na wana constant stream ya pesa ni wafanyakazi ambao sasa wana hali mbay kuliko kawaida, watafanya utalii upi?

Takwimu zinaonyesha watalii wengi wa Tanzania wanatoka Marekani na Ulaya. Sasa ili tuongeze base tulipaswa kwenda Asia ambako life standard zao zimeongezeka na sasa wanaweza kufanya savings na kua na extra money ya kufanyia vitu kama utalii. Badala ya kwenda huko unaenda Zanzibar, hatuko serious.

Kutumia nguvu kubwa kutangaza na ku justfy Royal Tour Tanzania ni wastage of time and resources.
 
Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Marekani ni sahihi kabisa ila kuzindua Filamu Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda.

Kama serikali ilikua serious ilipaswa filamu hiyo baada ya kuzinduliwa Marekani, ikazinduliwe Ulaya na Kisha Asia kama Japan, China, South Korea, Malaysia, Thailand, India nk.

Tukubaliane kwamba ili mtu aweze kufanya utalii lazima awe na uwezo wa kutunza pesa za ziada ama savings ila kama hana uwezo wa kutunza pesa za ziada hawezi kufanya utalii.

Kwa msingi huo unaweza kuona watu wenye uwezo wa kufanya savings za kutalii wako Marekani, Ulaya na sasa Asia.

Jambo la pili, kama lengo la filamu ilikua kutangaza na kuonyesha vivutio vya utalii vya Tanzania huko Duniani, unakujaje kuzindua filamu hiyo Tanzania, kwani kuna mtanzania hajui Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na ukipita kilimanjaro siku kuna hali ya hewa nzuri unauona ukiwa hata kwenye basi.

Kuna mtanzania asiejua Serengeti national park iko Tanzania, ama Zanzibar? Mnatangaza utalii Tanzania wakati middle class ambao wanaweza kufanya savings na wana constant stream ya pesa ni wafanyakazi ambao sasa wana hali mbay kuliko kawaida, watafanya utalii upi?

Takwimu zinaonyesha watalii wengi wa Tanzania wanatoka Marekani na Ulaya. Sasa ili tuongeze base tulipaswa kwenda Asia ambako life standard zao zimeongezeka na sasa wanaweza kufanya savings na kua na extra money ya kufanyia vitu kama utalii. Badala ya kwenda huko unaenda Zanzibar, hatuko serious.

Kutumia nguvu kubwa kutangaza na ku justfy Royal Tour Tanzania ni wastage of time and resources.
Kuna zwazwa linaburuzwa! Liache liende hivyo hivyo!
 
Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Marekani ni sahihi kabisa ila kuzindua Filamu Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda.

Kama serikali ilikua serious ilipaswa filamu hiyo baada ya kuzinduliwa Marekani, ikazinduliwe Ulaya na Kisha Asia kama Japan, China, South Korea, Malaysia, Thailand, India nk.

Tukubaliane kwamba ili mtu aweze kufanya utalii lazima awe na uwezo wa kutunza pesa za ziada ama savings ila kama hana uwezo wa kutunza pesa za ziada hawezi kufanya utalii.

Kwa msingi huo unaweza kuona watu wenye uwezo wa kufanya savings za kutalii wako Marekani, Ulaya na sasa Asia.

Jambo la pili, kama lengo la filamu ilikua kutangaza na kuonyesha vivutio vya utalii vya Tanzania huko Duniani, unakujaje kuzindua filamu hiyo Tanzania, kwani kuna mtanzania hajui Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na ukipita kilimanjaro siku kuna hali ya hewa nzuri unauona ukiwa hata kwenye basi.

Kuna mtanzania asiejua Serengeti national park iko Tanzania, ama Zanzibar? Mnatangaza utalii Tanzania wakati middle class ambao wanaweza kufanya savings na wana constant stream ya pesa ni wafanyakazi ambao sasa wana hali mbay kuliko kawaida, watafanya utalii upi?

Takwimu zinaonyesha watalii wengi wa Tanzania wanatoka Marekani na Ulaya. Sasa ili tuongeze base tulipaswa kwenda Asia ambako life standard zao zimeongezeka na sasa wanaweza kufanya savings na kua na extra money ya kufanyia vitu kama utalii. Badala ya kwenda huko unaenda Zanzibar, hatuko serious.

Kutumia nguvu kubwa kutangaza na ku justfy Royal Tour Tanzania ni wastage of time and resources.
Kumbe hujui control fundamentals,bila feedback utalii kuishnei.
 
Mama mimi kaniudhi tu kumsema marehemu kwenye huo mkanda wake mpaka nimekosa hamu ya kuendelea kuuangalia! Kulikuwa na haja gani eti kukubali kwamba Magu alikuwa anam-undermine? Kukikuwa na haja gani kuingiza kipande cha Magu kufa na CODIV? Upuuzi mtupu!
 
Nchi hii vilaza wengi mno , unakuja kutangaza Tanzania , badala ya kupambana hyo royal tour ionyeshwe kwenye vituo vikubwa kama BBC Earth, NatGeoWild, Brave wilderness, The Dodo, Animal Aid Unlimited, Animal Planet, Real Wild, iPanda etc ....unakomaa kuzurura Arusha , DSM , mara Zanzibar , sjui kuonyesha TBC , ITV , Star TV na utopolo mwingine, kutwa kumnanga Maghufuli mpak kwenye documentary utadhani atakuondolea kiti cha uraisi
 
Mama mimi kaniudhi tu kumsema marehemu kwenye huo mkanda wake mpaka nimekosa hamu ya kuendelea kuuangalia! Kulikuwa na haja gani eti kukubali kwamba Magu alikuwa anam-undermine? Kukikuwa na haja gani kuingiza kipande cha Magu kufa na CODIV? Upuuzi mtupu!
We umeangalia Filamu?
 
Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Marekani ni sahihi kabisa ila kuzindua Filamu Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda.

Kama serikali ilikua serious ilipaswa filamu hiyo baada ya kuzinduliwa Marekani, ikazinduliwe Ulaya na Kisha Asia kama Japan, China, South Korea, Malaysia, Thailand, India nk.

Tukubaliane kwamba ili mtu aweze kufanya utalii lazima awe na uwezo wa kutunza pesa za ziada ama savings ila kama hana uwezo wa kutunza pesa za ziada hawezi kufanya utalii.

Kwa msingi huo unaweza kuona watu wenye uwezo wa kufanya savings za kutalii wako Marekani, Ulaya na sasa Asia.

Jambo la pili, kama lengo la filamu ilikua kutangaza na kuonyesha vivutio vya utalii vya Tanzania huko Duniani, unakujaje kuzindua filamu hiyo Tanzania, kwani kuna mtanzania hajui Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na ukipita kilimanjaro siku kuna hali ya hewa nzuri unauona ukiwa hata kwenye basi.

Kuna mtanzania asiejua Serengeti national park iko Tanzania, ama Zanzibar? Mnatangaza utalii Tanzania wakati middle class ambao wanaweza kufanya savings na wana constant stream ya pesa ni wafanyakazi ambao sasa wana hali mbay kuliko kawaida, watafanya utalii upi?

Takwimu zinaonyesha watalii wengi wa Tanzania wanatoka Marekani na Ulaya. Sasa ili tuongeze base tulipaswa kwenda Asia ambako life standard zao zimeongezeka na sasa wanaweza kufanya savings na kua na extra money ya kufanyia vitu kama utalii. Badala ya kwenda huko unaenda Zanzibar, hatuko serious.

Kutumia nguvu kubwa kutangaza na ku justfy Royal Tour Tanzania ni wastage of time and resources.
Mama rudi jikoni
 
Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Marekani ni sahihi kabisa ila kuzindua Filamu Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda.

Kama serikali ilikua serious ilipaswa filamu hiyo baada ya kuzinduliwa Marekani, ikazinduliwe Ulaya na Kisha Asia kama Japan, China, South Korea, Malaysia, Thailand, India nk.

Tukubaliane kwamba ili mtu aweze kufanya utalii lazima awe na uwezo wa kutunza pesa za ziada ama savings ila kama hana uwezo wa kutunza pesa za ziada hawezi kufanya utalii.

Kwa msingi huo unaweza kuona watu wenye uwezo wa kufanya savings za kutalii wako Marekani, Ulaya na sasa Asia.

Jambo la pili, kama lengo la filamu ilikua kutangaza na kuonyesha vivutio vya utalii vya Tanzania huko Duniani, unakujaje kuzindua filamu hiyo Tanzania, kwani kuna mtanzania hajui Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na ukipita kilimanjaro siku kuna hali ya hewa nzuri unauona ukiwa hata kwenye basi.

Kuna mtanzania asiejua Serengeti national park iko Tanzania, ama Zanzibar? Mnatangaza utalii Tanzania wakati middle class ambao wanaweza kufanya savings na wana constant stream ya pesa ni wafanyakazi ambao sasa wana hali mbay kuliko kawaida, watafanya utalii upi?

Takwimu zinaonyesha watalii wengi wa Tanzania wanatoka Marekani na Ulaya. Sasa ili tuongeze base tulipaswa kwenda Asia ambako life standard zao zimeongezeka na sasa wanaweza kufanya savings na kua na extra money ya kufanyia vitu kama utalii. Badala ya kwenda huko unaenda Zanzibar, hatuko serious.

Kutumia nguvu kubwa kutangaza na ku justfy Royal Tour Tanzania ni wastage of time and resources.
Mtakufa na vijiba vya roho. Tafuteni shughuli mfanye ziwaingizieni fedha, haya mambo siyo saizi yenu. Mna mawazo duni sana.


Siyo lazima u-comment kila kitu. Hii promotional strategy/ technique inayotumia film ni mpya kwa mazingira yetu. Hatukuzoea vitu hivi, tuwe wakimya tusubiri matokeo.
 
Mama mimi kaniudhi tu kumsema marehemu kwenye huo mkanda wake mpaka nimekosa hamu ya kuendelea kuuangalia! Kulikuwa na haja gani eti kukubali kwamba Magu alikuwa anam-undermine? Kukikuwa na haja gani kuingiza kipande cha Magu kufa na CODIV? Upuuzi mtupu!
Ili Movie Ipate Kutrend

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mama mimi kaniudhi tu kumsema marehemu kwenye huo mkanda wake mpaka nimekosa hamu ya kuendelea kuuangalia! Kulikuwa na haja gani eti kukubali kwamba Magu alikuwa anam-undermine? Kukikuwa na haja gani kuingiza kipande cha Magu kufa na CODIV? Upuuzi mtupu!
Kwa hiyo ulitaka aseme amekufa kwa ugonjwa wa moyo? Muda wa kuficha takwimu, muda wa uwongo ulikwisha baada ya shetani Magufuli kufa pale 17/03/21.

Sasa kila uovu utasemwa. Tunatakka tufike mahali tujuwe nani alimuua Ben Saanane na alimzika wapi? Nani aliamuru Tundu Lissu apigwe risasi?

Lazima UHAYAWANI wote aliofanya DIKTETA wa Chato ujulikane
 
Kwa hiyo ulitaka aseme amekufa kwa ugonjwa wa moyo? Muda wa kuficha takwimu, muda wa uwongo ulikwisha baada ya shetani Magufuli kufa pale 17/03/21.

Sasa kila uovu utasemwa. Tunatakka tufike mahali tujuwe nani alimuua Ben Saanane na alimzika wapi? Nani aliamuru Tundu Lissu apigwe risasi?

Lazima UHAYAWANI wote aliofanya DIKTETA wa Chato ujulikane
Vipi Kama Hayo yote Uliyo Yasema Wewe Mama Angeyaweka Kwenye Movie Kutuambia Ukweli?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ulitaka aseme amekufa kwa ugonjwa wa moyo? Muda wa kuficha takwimu, muda wa uwongo ulikwisha baada ya shetani Magufuli kufa pale 17/03/21.

Sasa kila uovu utasemwa. Tunatakka tufike mahali tujuwe nani alimuua Ben Saanane na alimzika wapi? Nani aliamuru Tundu Lissu apigwe risasi?

Lazima UHAYAWANI wote aliofanya DIKTETA wa Chato ujulikane
Kwani Magufuri alikuwa ana husu nini kwenye firam ya royal tour,yeye alisema anatangaza vivutio vya utali, Magufuri amekuwa naye kivutio? Sasahivi wasipo msema Magufuri Mambo yao hayendi?kwanza Samia inabidi ajiuzuru urais wake maana niyeye ndiye alituaminisha umma kuwa Magufuri alikufa kwa magonjwa ya moyo, Sasahivi anasema ni Covid-19, inawezekana Samia ni miongoni walifanya Magufuri haondoke.
 
Hivi hii ndege ya Qatar ilikodiwa au alikuja kama abiria wa kawaida?
 
Akili za Watanzania zimeshahamia kwa RT. Tusisahau vipaumbele vya maendeleo. Isijekuws km kikombe cha Babu.
 
Back
Top Bottom