Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda na Gharama

Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda na Gharama

Mtakufa na vijiba vya roho. Tafuteni shughuli mfanye ziwaingizieni fedha, haya mambo siyo saizi yenu. Mna mawazo duni sana.


Siyo lazima u-comment kila kitu. Hii promotional strategy/ technique inayotumia film ni mpya kwa mazingira yetu. Hatukuzoea vitu hivi, tuwe wakimya tusubiri matokeo.
Ujinga mtupu... akili mgando
 
Nchi hii vilaza wengi mno , unakuja kutangaza Tanzania , badala ya kupambana hyo royal tour ionyeshwe kwenye vituo vikubwa kama BBC Earth, NatGeoWild, Brave wilderness, The Dodo, Animal Aid Unlimited, Animal Planet, Real Wild, iPanda etc ....unakomaa kuzurura Arusha , DSM , mara Zanzibar , sjui kuonyesha TBC , ITV , Star TV na utopolo mwingine, kutwa kumnanga Maghufuli mpak kwenye documentary utadhani atakuondolea kiti cha uraisi
kule mpunga mrefu sio kamba ndefu kama walivyozoea
 
Acheni watu wapige pesa asee ni zamu yao eti!.
 
Vipi Kama Hayo yote Uliyo Yasema Wewe Mama Angeyaweka Kwenye Movie Kutuambia Ukweli?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Mhubiri 3:1-8 . Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake: Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa ...

Kwenye Royal Tour ilikuwa ni kujuwa kilichomuua DIKTETA, tumejuwa ni COVID-19. Hayo mengi ya akina Lissi na Ben Saanane subiri muda wake
 
Kwani Magufuri alikuwa ana husu nini kwenye firam ya royal tour,yeye alisema anatangaza vivutio vya utali, Magufuri amekuwa naye kivutio? Sasahivi wasipo msema Magufuri Mambo yao hayendi?kwanza Samia inabidi ajiuzuru urais wake maana niyeye ndiye alituaminisha umma kuwa Magufuri alikufa kwa magonjwa ya moyo, Sasahivi anasema ni Covid-19, inawezekana Samia ni miongoni walifanya Magufuri haondoke.
Kumbuka alipotuambia kuwa Magufuli amekufa kwa ugonjwa wa moyo kwanza kulikuwa kipindi cha mpito ambacho Sukuma Gang walikuwa wanadhibiti kila kitu. Pili Samia alikuwa Makamu wa Rais.

Hivyo basi baada ya kuapishwa kuwa Rais, hilo ndilo jibu kuwa DIKTETA alikuwa kwa COVID-19!!

Kama hutaki kazikwe naye Chato
 
Kumbuka alipotuambia kuwa Magufuli amekufa kwa ugonjwa wa moyo kwanza kulikuwa kipindi cha mpito ambacho Sukuma Gang walikuwa wanadhibiti kila kitu. Pili Samia alikuwa Makamu wa Rais.

Hivyo basi baada ya kuapishwa kuwa Rais, hilo ndilo jibu kuwa DIKTETA alikuwa kwa COVID-19!!

Kama hutaki kazikwe naye Chato
Sema Samia alishiriki kumuua Magu, covid gani ambayo ilimuua Magu tu, mbona mke wake au walinzi wake hatukuona wanakufa au Mama yake aliyekuwa dhaifu mbona hawakuguswa? Maana tuliambiwa covid ikigusa mmoja tu lazima family na waliokaribu nae lazima waguswe,Samia anajua Mengi mda utaongea tu,tutajua Mengi yaliyochini ya carpet
 
Sema Samia alishiriki kumuua Magu, covid gani ambayo ilimuua Magu tu, mbona mke wake au walinzi wake hatukuona wanakufa au Mama yake aliyekuwa dhaifu mbona hawakuguswa? Maana tuliambiwa covid ikigusa mmoja tu lazima family na waliokaribu nae lazima waguswe,Samia anajua Mengi mda utaongea tu,tutajua Mengi yaliyochini ya carpet
Una uhakika na ulichokiandika? Kwanza siyo kweli kama COVID 19 ikimpata mmoja kwenye familia mtakufa wote. Kama ni hivyo Tanzania tungekuwa tumekufa wote kwa vile hakuna familia haikupata mgonjwa wa COVID 19. Ukweli ni kwamba COVID 19 huua hadi 30% ya walioambukizwa.

Pili wewe hujui interaction ya Magufuli na familia yake ilikuwaje. Huwezi kuwasemea kwa nini ueue alikuwa na wengine hawakufa.
 
Kumbe hujui control fundamentals,bila feedback utalii kuishnei.
Mkuu, nakuapia hata kama wangekuwa wanajua, kwa chuki kali walizonazo dhidi ya huyu mama wallahi watakuwa washasahau na hawawezi kukumbuka tena mpaka wanayemchukia atakapomaliza musa wake. Soma comment #3 ujue kiwango cha hasira walichonacho dhidi ya huyu mama.

Ninachoweza kusema, chuki ya walinda legacy kwa mama ni tofauti na wanayopayuka humu......kimsingi hawampendi tu kutokana na 'itikadi' zao na hofu waliyonayo na kupiga hatua za maendeleo maana hawaishi kulazimisha ushindani kati yao, hawayasemi kamwe anayoyafanya ili kuyaficha n.k
 
Una uhakika na ulichokiandika? Kwanza siyo kweli kama COVID 19 ikimpata mmoja kwenye familia mtakufa wote. Kama ni hivyo Tanzania tungekuwa tumekufa wote kwa vile hakuna familia haikupata mgonjwa wa COVID 19. Ukweli ni kwamba COVID 19 huua hadi 30% ya walioambukizwa.

Pili wewe hujui interaction ya Magufuli na familia yake ilikuwaje. Huwezi kuwasemea kwa nini ueue alikuwa na wengine hawakufa.
Leta ushahidi wa unachodhania vinginevyo ni porojo unaendeleza.
 
Una uhakika na ulichokiandika? Kwanza siyo kweli kama COVID 19 ikimpata mmoja kwenye familia mtakufa wote. Kama ni hivyo Tanzania tungekuwa tumekufa wote kwa vile hakuna familia haikupata mgonjwa wa COVID 19. Ukweli ni kwamba COVID 19 huua hadi 30% ya walioambukizwa.

Pili wewe hujui interaction ya Magufuli na familia yake ilikuwaje. Huwezi kuwasemea kwa nini ueue alikuwa na wengine hawakufa.

Mengine yooote yanabakia kuwa maoni yako tu, ila wenye akili timamu tunajua kilichomuua JPM…. hatusubiri porojo za mtu yeyote yule.
 
Leta ushahidi wa unachodhania vinginevyo ni porojo unaendeleza.
Kama una kisomo cha kawaida huhitaji kunidai ushahidi, mambo yako wazi kwenye mitandao. Nenda kasome tu haina haja ya ushahidi kutoka kwangu
 
Mengine yooote yanabakia kuwa maoni yako tu, ila wenye akili timamu tunajua kilichomuua JPM…. hatusubiri porojo za mtu yeyote yule.
Wewe ni msukule tu wa Magufuli, hatutajangaika na wewe. Nani aipigir porojo Ile maiti ilikuwa inatembea nanyi wajinga mnamuita Chuma au Jiwe!!
 
Wewe ni msukule tu wa Magufuli, hatutajangaika na wewe. Nani aipigir porojo Ile maiti ilikuwa inatembea nanyi wajinga mnamuita Chuma au Jiwe!!

Ongeza juhudi ujifunze kuandika kwanza, ukishajua urudi tutajadili mambo makubwa kama haya.
 
Hivi kifo cha JPM akiwa rais wa nchi imekuwa promotional material ya utalii wa Tanzania ? Mbona Kenya hawajamtangaza Mwai Kibaki?
 
Back
Top Bottom