Elections 2010 Uzinduzi wa Kampeni Za CCM - from ITV

Elections 2010 Uzinduzi wa Kampeni Za CCM - from ITV

...........kama afya hairuhusu si unakaa pembeni bana.......kweli uraisi mtamu
kweli kwani alizaliwa awe rais tuuuu mtu hadi ufie jukwaani mradi cheo makubwa.....................kama afya haifai anapisha wengine, kama yeye ni hivi mgombea mwenza si ndio hatari. Nilishasema mwaka huu CCM itabidi watembee na ambulensi mbilimbili.
 
HURUMA KWA WAGONJWA. Hivi CCM huwa ina huruma kwa hawa dada/wake/mama zetu?

610x.jpg

Temeke+Hostital
 
Kuna SMS nimetumiwa, sina uhakika kama hii ndiyo Jk aliyosema inasambazwa kwenye mitandao . . . inasomeka hivi . . . .

"Kwa Maana jinsi Hii Mungu Aliipenda Tanzania; hata akamtuma Dr. Slaa (Silaha) ili kila Mtanzania atakayemkubali na Kumchagua apate ukombozi wa Kweli. Ni zamu ya CCM Kuaga, rasilimali za Nchi zinatumiwa na wachache. Patakatifu (Ikulu) pamekuwa kituo cha Usanii etc. Mungu Ibariki Tanzania; Mungu Mbariki Dr. Slaa (SAMBAZA).
 
Ushauri wa bure JK apumzike kampeni ziendeshwe na Bilal.
 
ACHA SPECULATIONS HIZO WEWE.....

Maadili gani hayo kufurahia mtu anapoumwa? Huo ni u saddist......

Mwanadamu yoyote anaweza kuumwa saa yoyote, wakati wowote, mahala popote....ndio maana akaitwa MWANADAMU...

Soo achana na ushabiki wa mambo haya....BE REASONABLE
Salaama wacha upuuzi hapa. Hakuna anayefurahia. Kwani kila siku anapoanguka jukwaani na nyie mnazidi kumsimamisha hapo jukwaani nyie mnafurahi? Hii ni mara kama ya nne anadondoka na nyie watetezi wake mnaona na mnaendelea kumshauri asimame jukwaani. Inaonyesha ni nyie mnaofurahia kuona anadondoka kila mara jukwaani.
Please. Jamaa afya yake ina mgogoro. Mpumzisheni ati. Maana akidondoka tena inaweza kuwa jumla jumla.
 
ACHA SPECULATIONS HIZO WEWE.....

Maadili gani hayo kufurahia mtu anapoumwa? Huo ni u saddist......

Mwanadamu yoyote anaweza kuumwa saa yoyote, wakati wowote, mahala popote....ndio maana akaitwa MWANADAMU...

Soo achana na ushabiki wa mambo haya....BE REASONABLE

Wewe mbona unakuwa mtu wa ajabu. unamshambulia Supermana kwa kitu ambacho amesema kweli.
Angalia namna alivyoanza aliporudi kuhutubia. Ona alivyo-loose self control and confodence in speaking. Ona alivyohangaika kutafuta nini cha kusema. Mwisho angalia namna anavyoimalizia hotuba yake na kitendo chake cha mwisho jukwaani.


Wale wanaofahamu mambo yakuzungumza au kufanya jambo mbele kadamnasi, litakapotokea limepata dosari kama ya Kikwete ili mengi yasije ibuka wanamshauri muhisika kukatisha hiyo kazi.

Ni busara kumshauri kukatisha kuliko kumruhusu aendelee mpate aibu nyingine tena.

Ndiyo nimesema aibu, kwasababu angalia hata namna Chiligati na wakina Makamba wanavyoshindwa kuzungumza kwa ujasiri baada ya hili.

Pili, usikurupuke kumshambulia mtu wakati watu wanajiuliza, kwanini iwe yeye tu? Kuanguka kwenye kadamnasi mara 3 katika kipindi cha miaka mitano.
Mara alikuwa katika mfungo...2005
Mara niuchovu then kunamatatizo katiak damu..2010( nisahihishwe mwaka)
Leo ,...alikuwa katika mfungo.

Mbona kuna wachezaji wanacheza mpira hali wamefunga?
 
HURUMA KWA WAGONJWA. Hivi CCM huwa ina huruma kwa hawa dada/wake/mama zetu?

610x.jpg

Temeke+Hostital

Mzee Sikonge, mbona hapo ni pazuri saaana hata mimi nakubali kulala tena tiles, hapo mbona saafi.

Twende zile hospitali nyingine, hapo chini chini kuna sakafu ya cement inamashimo goroli zinazama, vumbi usiniulize wala rangi ya sakafu usiitafute( maana utakayoikuta siku hiyo hiyo ndiyo yenyewe- kesho ikibadilika suala jingine)

Huko ndiko kunakouma sana.
 
Asanteni wote, mmnisaidia sana kujua kilichojiri hapo jangwani...vipi zile kelele za asubuhi kwenye dalaladala zipo bado? vipi Komba na TOT yake bado wanaendelea kumchuria huyu mtumishi???

Kweli nimefurahi mlivyoripoti, Stay blessed lakini pia kama binadamu tuna kila sababu ya kumuomba MUNGU kwa ajili ya afya ya Muheshiwa( in a binadamu perspectives and not political one)

I pry to GOD through JESUS Christ that he may be healed from whatever he is suffering from......AMEN
 
Na wewe! Ujanja wake nini? Hivi wewe sio mjanja? Kila mtu ana ujanja lakini napinga kuwa yeye ni mjanja

Nadhani hujamuelewa jamaa.
Ameandika hivyo 'sarcastically'...yaani hamaanishi kuwa kweli ndiye Mtz mjanja kuliko wote
 
Sikiliza hotuba ya Kikwete pale Jangwani hapo jana (21/8/2010) hasa kuanzia dakika ya 3.40 kuendelea. Hapo utamsikia Kikwete akiponda message za kwenye mitandao. Je ame-target JF specifically? Na Je, alichosema ni kweli? Na kama ni kweli kama tunajisumbua, kwa nini amepoteza muda kutuzungumzia kwenye hotuba yake? Mimi binafsi nahisi tumemgusa na tunamtisha. Wewe waonaje?

"...kwenye mitando huko kuna message nyingi,.... hivi, hivi, hivi,...wanajisumbua...wanajisumbua! Watanzania hawa hawadanganyiki...."

 
Last edited by a moderator:
Mimi namuunga mkono,kwa sababu JF ipo zaidi kutetea watu wao. Tuseme nini cha kukuridhisheni?

Kwa mfano nikisema na dkt Slaa alianguka alipoteuliwa kuwa mgombea nitakuwa nimekosea nini?

Dkt Slaa katika kurudisha fomu alifuatwa na watu wachache wakati Kikwete na Lipumba walikuwa na umati mkubwa!
 
JK kwa kusema hivyo, ndio ametupandisha chati, ye hajui tu?
 
Mimi naona Kikwete hajuwi hasa kama kuna JF na kama anajuwa alipozungumzia habari za mitandao hakukusudia JF hasa
 
Nadhani baada ya Malaria Sugu kuzidi kuekwa kwene kikaangio atazidi kukereka bwe he he he..
 
Back
Top Bottom