Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UPUUZI MTUPU!
Zanzibar ni tunaenda na Hussein, Maalim atatusamehe.
Hatutaacha kuwakumbusha ninyi pamoja na viongozi wenu kuwa propaganda hazikupi kura ila sera, umemsikia Dr. Mwinyi akizungumza propaganda yoyote leo? yuko very straight na sera zake na mikakati, sasa tutege sikio kesho, yaani upinzani wa bongo ni wa hovyo walopokaji wengiHatuhitaji trh 28 ifike ndio tuzungumze, mwaka huu ndio mmejiabisha mno, mpaka najiuliza, CCM Zanzibar hamkuumbwa na aibu ndani ya nafsi? mkafoji form yaani mlivo wajing.a form inasema tarehe 7 mwezi wa 7 ndio kala kiapo, ilhali ni siku ambayo hakuna ofisi za serikali. AIBUUUUU kuliko ile ya 2015! Tutakurudisha kwenu kwa mtumbwi! 😀
uo utopolo wa ansbert ndo upuuzi, sidhani kama tundu lisu na salumu wanalala wakijitathmini wanaweza kuwa rais na makamu
Ni CCM tenaDkt. Mwinyi kaongea kisayansi yaani kagusa mambo kumi yaliyo fanyika na kumi yatakayo fanyika its verry short , clear and aplicable (persuasive speach)
Ni Mwinyi 2020 - 2025Dkt. Mwinyi kaongea kisayansi yaani kagusa mambo kumi yaliyo fanyika na kumi yatakayo fanyika its verry short , clear and aplicable (persuasive speach)
Ni Mwinyi 2020 - 2025
Hatutaacha kuwakumbusha ninyi pamoja na viongozi wenu kuwa propaganda hazikupi kura ila sera, umemsikia Dr. Mwinyi akizungumza propaganda yoyote leo? yuko very straight na sera zake na mikakati, sasa tutege sikio kesho, yaani upinzani wa bongo ni wa hovyo walopokaji wengi
Chagua Mwinyi
Chagua MwinyiZa kuwaambia wazanzibari kuwa walichotutuma kufanya tumetekeleza..
Chagua MwinyiMbona hujiamini?
Unaogopa?
Ulifkiri humu utakuta watu wasiojielewa kam ww?
Umechelewa ndugu yang, watu washachoka na siasa za uongo za wapinzani!
Chagua MwinyiView attachment 1567851
CHAMA CHA MAPINDUZI LEO KIMEWEKA HISTORIA KATIKA VIWANJA VYA KIBANDA MAITI HII HAIJAWAHI KUTOKEA
DKT HUSSEIN MWINYI ANAKUBALIKA SANA ZANZIBAR
Chagua Mwinyipicha zinaongea zenyewe hizi jamani
"Kwenye suala la ajira, Ilani yetu imeelekeza. Tutahakikisha tunatoa ajira Laki 3 kwenye sekta rasmi na zisizo rasmi kwa vijana wa Zanzibar." Dkt Mwinyi Kutoka Zanzibar
View attachment 1567848
Chagua MwinyiChei Chei Zanzibar
Chagua MwinyiChagua Mwinyi
Chagua MwinyiChagua Mwinyi
uo utopolo wa ansbert ndo upuuzi, sidhani kama tundu lisu na salumu wanalala wakijitathmini wanaweza kuwa rais na makamu