Uzinduzi William TV: Dunia macho na maskio yote Dar, ni tukio la kihistoria

Ulimwengu wa wap?g
 
Hahahaha! Msaga sumu, katika ubora wake, nilimis post zako, subir atakuja kukujibu

inaonekana hapa kuna watu hawamuelewi msaga sumu, [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu ni mtani wa le super mbebiz lemutuz
 
Hahahha hebu muacheni Le mbebezi kada mwenzangu
 
Nilishasema humu vilaza ni wengi sana. Maana kama huyu ameona hii ni habari ya pekee kwake, maana ni sawa na kusema jana home walichinja mbuzi mkubwa so what?
 
Channeli moja ndiyo mapinduzi ? Mi nilidhani anakuja na king'amuzi ambacho kitaonesha kwa mfano watazamaji tunaingia uwanja wa Lugalo tunaona mechi ya Man U na Chelsea kama vile wanacheza uwanja wa Lugalo LIVE kumbe ni ujinga huo?
 
Hahahaha! Msaga sumu, katika ubora wake, nilimis post zako, subir atakuja kukujibu

inaonekana hapa kuna watu hawamuelewi msaga sumu, [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu ni mtani wa le super mbebiz lemutuz
hahahaha wengi hawamuelewi kabisa
 
Channeli moja ndiyo mapinduzi ? Mi nilidhani anakuja na king'amuzi ambacho kitaonesha kwa mfano watazamaji tunaingia uwanja wa Lugalo tunaona mechi ya Man U na Chelsea kama vile wanacheza uwanja wa Lugalo LIVE kumbe ni ujinga huo?
hahahahaha kuku mgeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…